The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,171
- 51,147
Hata wewe pia lugha ni changamoto kwako,sio nazani ni nadhani.Hata hapa, bado lugha ni changamoto. Pole sana, nazani ndo sabab ccm wanaendelea kutawala tz toka uhuru.
Hata wewe pia lugha ni changamoto kwako,sio nazani ni nadhani.Hata hapa, bado lugha ni changamoto. Pole sana, nazani ndo sabab ccm wanaendelea kutawala tz toka uhuru.
Umeamua kuniundia kambi mambo ya ng'oswe muachie ng'oswe.Hata hapa, bado lugha ni changamoto. Pole sana, nazani ndo sabab ccm wanaendelea kutawala tz toka uhuru.
😀 Jamani ni makosa tu ya uandikaji wengine visawe tulifeli 😊Saasa hiyo "Una" ndio una maanisha "Huna?"
Maana ukisema "Ukiwa una pesa" maana yake ni kua Pesa unazo tayari.