Huwezi mkuta paka hapo, paka na vyuma ni vitu viwili tofauti
Kweli, mimi sikuona kabisa nilikuwa nachunguza kwenye upenyo upenyo, kumbe yoko juu kabisaAnaonekana vizuri upande wa kushoto juu juu kidogo...Chini ys bampa la feni....Anamadoa meupe na meusi..
Huwezi mkuta paka hapo, paka na vyuma ni vitu viwili tofauti
Nisamehe mkuu nimeonyeshwa - nimeshamuonaAcha uvivu wewe