nikipiga na mawe au nimekalia au kulalia mawe inaweza kiroho kuwa ishara ya ubishi kama jiwe.Picha ya mtu na vitu pia inaleta ujumbe fulani na ishara fulani, mfano nikipiga picha bustanini inawezekana nikawa naashiria upendo na amani, nikipiga na mawe au nimekalia au kulalia mawe inaweza kiroho kuwa ishara ya ubishi kama jiwe.
Sent using Jamii Forums mobile app









Yaani ni nomaaMungu wangu.. Mpaka nimeogopa... Ni kama anamwambia tangulia nakuja
Jr![]()
Peter Serukamba mb.
Nichambue kidogo,
Nichambue kidogo,
Zito na Makamba jr, hawakubaliani na anachokisema nape, Nape yeye anajua wanamkubalia na amehamasika kuongea zaidi,
Makamba yupo interested na Zito, (amefanya mirroring). Alafu inaonekana ni watu wanaofahamiana kiundani kwa muda mrefu.
Eti mshana hapo vipi ..?
Sent using Jamii Forums mobile app


imekaa vizuri ila itaongea zaidi kadiri muda unavyosogea.. Kwa sasa tumefumbwa ufahamu 
kabisa mkuu haya mambo ni magumuMungu wangu.. Mpaka nimeogopa... Ni kama anamwambia tangulia nakuja
Jr![]()