Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Mungu atende muujiza kwa hizo black suits kabla mwaka huu haujaisha.
IMGL0973.jpeg
 
Aisee acha uongo,..mzee said mabela Ni jiran yetu tangia mwaka 1990 maeneo ya kigogo mburahati,..na wanae wote nimesoma nao,..akiwemo bakari, sadick na wengine..baada ya kutofautiana na mkewe akahamia mbagala...na mpaka muda huu huyu mzee Ni mzima wa afya..tele. japo uzee umeshamtembelea...
Album cover hii imeekwa ktk 4 parts. Alianza kufariki wa chini kulia (Said Mabera)! Akafuatia wa juu Kulia (Tx Moshi)! Then wa Juu kushoto (Maalim Gurumo)! Wa chini Kushoto (Romarii) wangali hai. View attachment 1327307

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini si wajuu wawili wamefariki?
Aisee acha uongo,..mzee said mabela Ni jiran yetu tangia mwaka 1990 maeneo ya kigogo mburahati,..na wanae wote nimesoma nao,..akiwemo bakari, sadick na wengine..baada ya kutofautiana na mkewe akahamia mbagala...na mpaka muda huu huyu mzee Ni mzima wa afya..tele. japo uzee umeshamtembelea...

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Nashukuru kwa Masahihisho! Niliteleza
Aisee acha uongo,..mzee said mabela Ni jiran yetu tangia mwaka 1990 maeneo ya kigogo mburahati,..na wanae wote nimesoma nao,..akiwemo bakari, sadick na wengine..baada ya kutofautiana na mkewe akahamia mbagala...na mpaka muda huu huyu mzee Ni mzima wa afya..tele. japo uzee umeshamtembelea...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom