Tafsiri ya maendeleo: Ethiopia imepiga hatua kubwa lakini wananchi wake ndio wanaongoza kukimbia nchi

Barbosa umerudi pale pale. Kwenye maendeleo ya vitu si watu. Hawa wamepigana vita na ndugu zao wa eritrea kwa muda mrefu... licha ya hivyo ni mwakajana ndio wamepata.. thanks to waziri mkuu mpya.
According to report moja ya shirika. Kinacho waondoa ethiopia nyumban ni ukosefu wa ajira.. hali yao ya ajira ni mbaya kuliko yakwetu.. wasom ni wengi sana ajira hakuna, gharama za maisha zimepanda haswa kuliko kawaida. Hali inayopelekea wengi kushindwa kumudu.

Ndio nchi ina miundo mbinu mizur lakin uchumi wa wananchi ni mbaya..
Ndicho kinacho watoa kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maendeleo ya watu vs vitu inamaanisha nini hasa? Maana huenda tunalilia maendeleo ya watu lakini hata hatuelewi ina maana gani.
 
Umetoa maoni kana kwamba hujasoma vyema bandiko la mganga mshana. Maendeleo yawe balanced katika sekta mbalimbali na kama ipo haja ya kuzidisha kasi sehem basi isiwe kwa kiwango cha kuathiri sana sekta nyingine. mfano ikionekana ipo haja kubwa ya kuweka nguvu zaidi katika kuboresha miundombinu basi nguvu iwekwayo huko isipindukie kiasi cha kuumiza vibaya sekta nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kasoma kama gazeti

Jr
 
Beberu mkubwa wewe. Ilisikika buku d
saba moja iliyolewa balimi.
IMG_20181226_145918.jpeg


Jr
 
Ni nani amekwambia kwamba idadi ya wamexiko wanaokimbilia USA ni ndogo? Mpaka Trump anaingia idadi ya Wamexiko waliokuwa wanaingia USA illegally walikuwa zaidi ya milioni 1/mwaka!
Kilichomfanya trump awe mkali kwenye suala la mpaka. Ni kwamba kuna makundi mengine yanatumia nyia ya mexico kupenya us.
Karibia asilimia 65 ya wakimbizi si kutoka mexico.. bali ni kutoka nchi zingine..

Mwaka jana wakimbiz wengi walitokea honduras, mexico ni kama njia tu...
Us database inaonyesha wana 1.1 million immigrants waliojarib ku cross border.

Only 30 % were mexican.. 70% ni raia wa nchi nyingine.
With tought laws mexican imigrants waliokuwa us wamepungua by 2.5 million

Ethiopia immigrants hali ni mbaya..
Most of the ni vijana..
In 2014 ni 0.4 kati ya watu 1000 walikuwa wakitoroka kila siku .
2015 na 2016 hali ikawa mbaya sana.. 4.5 kati ya watu 1000 hutoroka kila siku .

Idad ya waliotoroka mpaka sasa ni kubwa. Huku malengo yao yakilenda kufika south.. kenya ..usa..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maendeleo ya vitu = maendeleo ya miundombinu ya nchi. Kama barabara.. ndege.. usafiri na n.k

Lakin wananchi hawataweza kuweza kufaid maendeleo ya nchi kama wao wenyewe hali zao ni mbaya kiuchumi.

Maendeleo ya watu = kuongezeka kwa uchumi binafsi au jamii, kuongezeka kwa pato , nafasi za ajira kuwa nyingi. Kuongezeka kwa biashara.

Gov inapo invest kwenye maendeleo ya nchi.. iwekee pia kwenye maendeleo ya watu.. kuwatengenezea mazingira ya wao kuweza kujikwamua kiuchumi.. kuongeza pato lao .. na nafasi zingine
Maendeleo ya watu vs vitu inamaanisha nini hasa? Maana huenda tunalilia maendeleo ya watu lakini hata hatuelewi ina maana gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unadhani hivyo mkuu?
Au unataka niandike kinachokufurahisha? Manake jamaa ametuathiri sana, kila mtu anapenda kusikia kinachomfurahisha..
Hapana kaka sina maana hiyo... Naona umeninukuu vibaya... Ningesema Umesoma kama riwaya ndio ningekuwa shida

Jr
 
Kilichomfanya trump awe mkali kwenye suala la mpaka. Ni kwamba kuna makundi mengine yanatumia nyia ya mexico kupenya us.
Karibia asilimia 65 ya wakimbizi si kutoka mexico.. bali ni kutoka nchi zingine..

Mwaka jana wakimbiz wengi walitokea honduras, mexico ni kama njia tu...
Us database inaonyesha wana 1.1 million immigrants waliojarib ku cross border.

Only 30 % were mexican.. 70% ni raia wa nchi nyingine.
With tought laws mexican imigrants waliokuwa us wamepungua by 2.5 million

Ethiopia immigrants hali ni mbaya..
Most of the ni vijana..
In 2014 ni 0.4 kati ya watu 1000 walikuwa wakitoroka kila siku .
2015 na 2016 hali ikawa mbaya sana.. 4.5 kati ya watu 1000 hutoroka kila siku .

Idad ya waliotoroka mpaka sasa ni kubwa. Huku malengo yao yakilenda kufika south.. kenya ..usa..



Sent using Jamii Forums mobile app
Post with vivid evidence and explanation to understand.... Ndugu yetu kakomaa na Mexico bila kuwa na database kama hii

Jr
 
Mexiko wamefanya hivyo lkn bado raia wa Mexiko wanaondoka kwa wingi, hivyo hiyo siyo sababu ya kuzuia raia kuhama nchi yao, labda sasa uweze kufikia kuwa nchi tajiri Duniani kama Japan au EU!
Sina data nzuri kuhusu hali ya kiuchumi nchini Mexico,ngoja nisome nikufundishe,lkn kwa akili za kawaida mtu hawezi kimbia nchi yake kama anapata mahitaji yote mhm vzr,vikiwemo ajira na uhuru wa kutosha.
 
Wengi wanatoka nchi zingine za amerika ya kusini sio mexico tu...mfano nchi ya Honduras... mexico inakua kama njia tu
Ni nani amekwambia kwamba idadi ya wamexiko wanaokimbilia USA ni ndogo? Mpaka Trump anaingia idadi ya Wamexiko waliokuwa wanaingia USA illegally walikuwa zaidi ya milioni 1/mwaka, na hiyo n California tu, sijaongelea Texas, New Mexico na majimbo mengine ya mpakani, kwanza moja ya sababu Trump hata kuchaguliwa ni hiyo, azuie Wahamiaji haramu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HV kwa nn Ethiopia pamoja na maendeleo yote hayo lakini vjana wanatafuta maisha nje ya mpaka yao tena kwa njia hatari?????????

Sent using Jamii Forums mobile app
Ethiopia kuna umeme wa kutosha wananchi hawana hela ya kumudu garama za umeme, kna barabara hosptal ndege nyingi ila wananchi hawana hela za kumudu hizo huduma!! Wana mishahara midogo sana hadi waalimu, madr askari wanakimbia nchi kwenda SA kuuza maduka na mahoteli!
Hela nyingi ya serekali inatumika kulipia madeni ya mikopo walokopa
 
Ethiopia kuna umeme wa kutosha wananchi hawana hela ya kumudu garama za umeme, kna barabara hosptal ndege nyingi ila wananchi hawana hela za kumudu hizo huduma!! Wana mishahara midogo sana hadi waalimu, madr askari wanakimbia nchi kwenda SA kuuza maduka na mahoteli!
Hela nyingi ya serekali inatumika kulipia madeni ya mikopo walokopa
It is coming...

Jr
 
Siasa pembeni, vyama tupa kule.... Hivi vitapita lakini Tanzania ya Watanzania itakuwepo... Kwahiyo ustawi wa nchi kama taifa huru na wananchi wake ni muhimu kuliko kingine chochote kile... Ndio USTAWI wa nchi na USTAWI wa WANANCHI... kimoja kisizidi kingine... Itakuwa sawa na kupamba makaburi kwa gharama kubwa kumbe kilichofutikwa chini ni uvundo
Maendeleo vema yakawa na uwiano kwenye kila nyanja, kwenye kila sekta kwenye kila nyenzo.... Kuanzia afya, lishe, uchumi, biashara, ajira, haki ya kujieleza, haki ya kutambulika, haki za binadamu, miundombinu, matibabu kilimo, ufundi,elimu, shughuli za ubunifu, uzalendo, utaifa.... Nknk.... Kusiwepo na kubaguana, kusiwepo na kutishana, kutesana, kutiana vilema, kuumizana visasi na kuviziana....
Dhana ya maendeleo ionekane kwa watu na vitu , ionekane kwa uwiano wa kikanda na maeneo yote ya nchi... Kila mmoja apate anachostahili kupata... Malalamiko yasiwe mengi, uonevu na kupunjwa... Unafiki na ndimi mbili kama kinyonga.... Dhana ya maendeleo ni pana kuliko tunavyoihubiri majukwaani
Tusipozingatia haya tutakuwa kama Ethiopia... Wenzetu wamewekeza kwenye miundombinu na miradi mikubwa mikubwa.... Wakawasahau wananchi wa kawaida
Watoto ni utapiamlo
Vijana wanakimbia nchi
Wazee wanakufa
Ni kilio na sononi kila mahali.. Lakini taifa linang'ara kwa miundombinu na takwimu za uchumi kupaa... Wamefutika uvundo kwenye makaburi yapendezayo machoni kutazama....
Maelfu ya vijana wa kihabeshi wanakimbia nchi yao inayopaa kimaendeleo wengi hawafiki waendako hufia njiani kwa mateso ya kukosa hewa wakiwa wamejazwa kwenye makontena.... Maiti zao hutupwa.. Hawazikwi kwa heshima... Hawapati muda wa kuagana na wapendwa wao.... Hufa na kuzikwa kama wanyama
Maendeleo ni dhana bora lakini
Yasiwe na makengeza
Yasiwe mbilikimo
Yasiwe na ubaguzi... Huyu mupe yure muruke
Yasiwe na mizania tege
Yasijae majigambo na kujisifu kwingi
Yasiwe na agenda zilizofichama ndani yake..... Haya ndio maendeleo tuyatakayo....

Jr
SG Railway walikwisha ijenga muda, ndege ni nyingi na kama wangeamua kuzipokea basis mwaka mzima wangeshinda uwanja wa ndege.
 
Siasa pembeni, vyama tupa kule.... Hivi vitapita lakini Tanzania ya Watanzania itakuwepo... Kwahiyo ustawi wa nchi kama taifa huru na wananchi wake ni muhimu kuliko kingine chochote kile... Ndio USTAWI wa nchi na USTAWI wa WANANCHI... kimoja kisizidi kingine... Itakuwa sawa na kupamba makaburi kwa gharama kubwa kumbe kilichofutikwa chini ni uvundo
Maendeleo vema yakawa na uwiano kwenye kila nyanja, kwenye kila sekta kwenye kila nyenzo.... Kuanzia afya, lishe, uchumi, biashara, ajira, haki ya kujieleza, haki ya kutambulika, haki za binadamu, miundombinu, matibabu kilimo, ufundi,elimu, shughuli za ubunifu, uzalendo, utaifa.... Nknk.... Kusiwepo na kubaguana, kusiwepo na kutishana, kutesana, kutiana vilema, kuumizana visasi na kuviziana....
Dhana ya maendeleo ionekane kwa watu na vitu , ionekane kwa uwiano wa kikanda na maeneo yote ya nchi... Kila mmoja apate anachostahili kupata... Malalamiko yasiwe mengi, uonevu na kupunjwa... Unafiki na ndimi mbili kama kinyonga.... Dhana ya maendeleo ni pana kuliko tunavyoihubiri majukwaani
Tusipozingatia haya tutakuwa kama Ethiopia... Wenzetu wamewekeza kwenye miundombinu na miradi mikubwa mikubwa.... Wakawasahau wananchi wa kawaida
Watoto ni utapiamlo
Vijana wanakimbia nchi
Wazee wanakufa
Ni kilio na sononi kila mahali.. Lakini taifa linang'ara kwa miundombinu na takwimu za uchumi kupaa... Wamefutika uvundo kwenye makaburi yapendezayo machoni kutazama....
Maelfu ya vijana wa kihabeshi wanakimbia nchi yao inayopaa kimaendeleo wengi hawafiki waendako hufia njiani kwa mateso ya kukosa hewa wakiwa wamejazwa kwenye makontena.... Maiti zao hutupwa.. Hawazikwi kwa heshima... Hawapati muda wa kuagana na wapendwa wao.... Hufa na kuzikwa kama wanyama
Maendeleo ni dhana bora lakini
Yasiwe na makengeza
Yasiwe mbilikimo
Yasiwe na ubaguzi... Huyu mupe yure muruke
Yasiwe na mizania tege
Yasijae majigambo na kujisifu kwingi
Yasiwe na agenda zilizofichama ndani yake..... Haya ndio maendeleo tuyatakayo....

Jr




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom