Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
n
nashindwa kuelewa fly over inakuwaje kigezo cha maendeleo mnieleweshe mwenzenuHata nyumbani kwenu kuwe kuzuri aje au kuwe
na utajiri mkubwa vipi,Kama hakuna Uhuru hata
wa kuturahi,kuongea
Basi watoto watakimbia.
Lakin pia Ethiopia imeharibiwa na kuwekeza
katika vitu na si ktk watu. Taifa lina ndege lina
flyover lakin watu ni masikini.
Lazima watakimbia tu