kizito2009
Senior Member
- Jan 6, 2010
- 172
- 223
Katika Jedwali la kodi la TRA unatumika mfumo wa kutumia turnover kukadiria kodi.
Kwa mtu mwenye turn over isiyozidi milioni 20 analipa presumptive tax ya tzs 865000 ambayo ni sawa na kama 5% ya mapato yote kwa mwaka ambayo ni sawa na kiasi cha TZS 72000 kwa mwezi.Iwapo hesabu hazijakaguliwa.
Vile vile kwa anaelipa kiwango cha chini cha kodi yaani TZS TSHS 150,000 na turnover ya TZS 7500000 kodi yao ni sawa na 2% ya mapato yao ambayo ni sawa na TZS 12500 kwa mwezi.
Tutafakari na kujadili katika mtazamo wa kibiashara je viwango hivi vya kodi vinalipika?Je ni rafiki kibiashara hasa ukizingatia hali ya biashara kwa sasa.
Je itapendeza kama Vile vitambulishao vya magufuli vitawaongeza na watu hawa kwa ajili ya kuhakikisha makusanyo yanaongezeka.ili habari za kodi za asilimia na/mahesabu waachiwe makampuni.Wajasiriamali wadogo wawe na uwezo wa kulipa kodi kwa fasta
Nawakilisha tujadili
Kwa mtu mwenye turn over isiyozidi milioni 20 analipa presumptive tax ya tzs 865000 ambayo ni sawa na kama 5% ya mapato yote kwa mwaka ambayo ni sawa na kiasi cha TZS 72000 kwa mwezi.Iwapo hesabu hazijakaguliwa.
Vile vile kwa anaelipa kiwango cha chini cha kodi yaani TZS TSHS 150,000 na turnover ya TZS 7500000 kodi yao ni sawa na 2% ya mapato yao ambayo ni sawa na TZS 12500 kwa mwezi.
Tutafakari na kujadili katika mtazamo wa kibiashara je viwango hivi vya kodi vinalipika?Je ni rafiki kibiashara hasa ukizingatia hali ya biashara kwa sasa.
Je itapendeza kama Vile vitambulishao vya magufuli vitawaongeza na watu hawa kwa ajili ya kuhakikisha makusanyo yanaongezeka.ili habari za kodi za asilimia na/mahesabu waachiwe makampuni.Wajasiriamali wadogo wawe na uwezo wa kulipa kodi kwa fasta
Nawakilisha tujadili