Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,773
- 5,931
Fikiria chama kinafungiwa kujihusisha na shughuli za kisiasa kisa tu kibaraka wa CCM ametumika kwenda mahamani.Kangaroo court.
Mwenyekiti wa chama yupo jela kwa kesi ya maonevu ya kisiasa.
Alafu kada aliyetunga wimbo kwa ajili ya chama anafariki kwa ajali akiwa safarini kwenda kuhudhuria kesi ya mwenyekiti wake anayeonewa
Michango inafanyika kwa muda mfupi kwa ajili ya msiba. .Makamanda wanahudhuria na kumzika kamanda mwenzao kwa heshima.
Ni umoja wa hali ya juu na ndio maana CCM wanaogopa.
Mwenyekiti wa chama yupo jela kwa kesi ya maonevu ya kisiasa.
Alafu kada aliyetunga wimbo kwa ajili ya chama anafariki kwa ajali akiwa safarini kwenda kuhudhuria kesi ya mwenyekiti wake anayeonewa
Michango inafanyika kwa muda mfupi kwa ajili ya msiba. .Makamanda wanahudhuria na kumzika kamanda mwenzao kwa heshima.
Ni umoja wa hali ya juu na ndio maana CCM wanaogopa.