Tafakuri Jadidi na maajabu ya Bongoland

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,833
155,780
130813201_10221844201746982_2391727011776712749_n.jpg


Kama Reli Imepita Shambani Kwako...

Na kama ilimopita reli tayari ni tuta.

Na kama treni haipiti juu ya reli kwa msimu mzima wa kilimo, kuanzia kupanda, palizi hadi mavuno.

Je, kuna dhambi gani kwa mwenye shamba kulima mahindi yake na akayavuna kabla ya msimu wa treni kuanza kupita?

Ni Tafakuri Jadidi.
 
View attachment 1648110

Kama Reli Imepita Shambani Kwako...

Na kama ilimopita reli tayari ni tuta.

Na kama treni haipiti juu ya reli kwa msimu mzima wa kilimo, kuanzia kupanda, palizi hadi mavuno.

Je, kuna dhambi gani kwa mwenye shamba kulima mahindi yake na akayavuna kabla ya msimu wa treni kuanza kupita?

Ni Tafakuri Jadidi.
Wewe ndio umelima ndani ya eneo la reli, si kwamba reli imepita shambani kwako.
Hapo hata hati hana.
 
Naombeni kuuliza swali la kiufundi, Kati ya reli hii ya kawaida ya mkoloni na hii mpya SGR inayojengwa ipi ina gharama kubwa zaidi kwenye uendeshaji?

Kama tumeshindwa kuimaintain hii ya mkoloni hiyo SGR itawezekana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom