B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
wakuu naomba kuwakilisha,kama mwezi umepita mtaa jirani na nnao ishi kilitokea tukio la kusikitishaa kama sio kufedhehesha.kuna jamaa aliamia na mchumba wake kama mienzi miwilii hivi.mwanamke wa hajaa,nnapo semaa wa hajaa nazani mtanielewaa ni mzurii,kajaliwaa kilaa sifaa,nyumaa mahagaa ya kutosha,hips kamaa kabebaa panyaa,guu makini na pambazake za mitego.nisiwachoshe kwa sifaa za binti,siku mojaa usiku wakora au majambawazi,walivyamiaa hiyo nyumbaa.walii mfungaa jamaa kambaaa na kum bakaa na kumnajisi yule dadaa vibaya mbele ya mchumba wake,walipo onaa amepoteza fahamu wakaingia mitini..chaa ajabu hawakuibaa kitu chochote,watu waliiofikaa mapema wanasema dada alikuwaa hana gagulo na upande wa kangaa uko upande.point yangu..jamani tukiwaa tunalalaa usiku tusiwe tunavyaa mavazi ya kutamanisha na maumbile ya wengine ni utata,wajombaa wakijaa,wakiona kitu pajaa udenda huo.na tuwe tunavyaa nguo za kistarabu kama maumbilee yetu niya kudatisha.
je?we ungekuwaa huyu kijanaa ungefanya uwamuzi gani? au ungekuwaa huyu dadaa unge fanyaje?
je?we ungekuwaa huyu kijanaa ungefanya uwamuzi gani? au ungekuwaa huyu dadaa unge fanyaje?