Tafakariii.....?chukua hatuaa

B'REAL

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
4,279
2,733
wakuu naomba kuwakilisha,kama mwezi umepita mtaa jirani na nnao ishi kilitokea tukio la kusikitishaa kama sio kufedhehesha.kuna jamaa aliamia na mchumba wake kama mienzi miwilii hivi.mwanamke wa hajaa,nnapo semaa wa hajaa nazani mtanielewaa ni mzurii,kajaliwaa kilaa sifaa,nyumaa mahagaa ya kutosha,hips kamaa kabebaa panyaa,guu makini na pambazake za mitego.nisiwachoshe kwa sifaa za binti,siku mojaa usiku wakora au majambawazi,walivyamiaa hiyo nyumbaa.walii mfungaa jamaa kambaaa na kum bakaa na kumnajisi yule dadaa vibaya mbele ya mchumba wake,walipo onaa amepoteza fahamu wakaingia mitini..chaa ajabu hawakuibaa kitu chochote,watu waliiofikaa mapema wanasema dada alikuwaa hana gagulo na upande wa kangaa uko upande.point yangu..jamani tukiwaa tunalalaa usiku tusiwe tunavyaa mavazi ya kutamanisha na maumbile ya wengine ni utata,wajombaa wakijaa,wakiona kitu pajaa udenda huo.na tuwe tunavyaa nguo za kistarabu kama maumbilee yetu niya kudatisha.

je?we ungekuwaa huyu kijanaa ungefanya uwamuzi gani? au ungekuwaa huyu dadaa unge fanyaje?
 
Watu wakienda nje WAJISITIRI..,wakilala WAJISITIRI...kwani wanalala jela au mtaani?!
 
Hebu acha kutupotosha hapa! Wataka kinadada walale na jeans kwa sababu kuna mmoja alibakwa? No way!
 
Yaani watu wasilale wapendavyo kisa probability ya kuja majambazi!

Huo utakuwa utumwa ndani ya nchi
 
Hao sio MAJAMBAZI waite WABAKAJI au jina linaloendana na walichokitenda.......
 
wakuu naomba kuwakilisha,kama mwezi umepita mtaa jirani na nnao ishi kilitokea tukio la kusikitishaa kama sio kufedhehesha.kuna jamaa aliamia na mchumba wake kama mienzi miwilii hivi.mwanamke wa hajaa,nnapo semaa wa hajaa nazani mtanielewaa ni mzurii,kajaliwaa kilaa sifaa,nyumaa mahagaa ya kutosha,hips kamaa kabebaa panyaa,guu makini na pambazake za mitego.nisiwachoshe kwa sifaa za binti,siku mojaa usiku wakora au majambawazi,walivyamiaa hiyo nyumbaa.walii mfungaa jamaa kambaaa na kum bakaa na kumnajisi yule dadaa vibaya mbele ya mchumba wake,walipo onaa amepoteza fahamu wakaingia mitini..chaa ajabu hawakuibaa kitu chochote,watu waliiofikaa mapema wanasema dada alikuwaa hana gagulo na upande wa kangaa uko upande.point yangu..jamani tukiwaa tunalalaa usiku tusiwe tunavyaa mavazi ya kutamanisha na maumbile ya wengine ni utata,wajombaa wakijaa,wakiona kitu pajaa udenda huo.na tuwe tunavyaa nguo za kistarabu kama maumbilee yetu niya kudatisha.

je?we ungekuwaa huyu kijanaa ungefanya uwamuzi gani? au ungekuwaa huyu dadaa unge fanyaje?


acha utoto...................
 
Hao wabakaji tu.Mimi jirani yangu maeno ya mbezi beach alibakwa na baada ya mwezi akawa na mimba je ungekuwa wwe ni mkeo ungefanyaje?Tena walikuja kwa staili kama hiyo hawakuchuka kitu chochote na huyo mama ni Mlokole.
 
Hizo biashara kichaa za kulala na ni nani anaweza hata mapasta wenyewe hawalali hivyo na hao sio wezi hao ni majirani tu
 
mhhhhhhh, walikuwa na ugomvi au, mie niliwahi vamiwa na majambazi, wakati tumesikia tu kukuru kakara nikaambiwa vaa jeans na tshirt, baada ya kuwatimua, kupumua na uoga kuondoka nikaanza kucheka na kuuliza kwa nn niliambiwa nivae jeans, akasema wezi hawataki process
 
Back
Top Bottom