Tafakari yangu na Kisarawe

Tafakari yangu na Kisarawe

Jemmie

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2018
Posts
216
Reaction score
285
Hivi karibuni Mkuu wa wilaya Mh. JOKATE MWEGELO amefanikiwa kushawishi wananchi kusaidia wanafunzi wa kike katika wilaya ya kisarawe kwa kuanzisha kampeni ya TOKOMEZA ZERO ambayo amepata michango kutoka kwa watu mbalimbali nchi.
NATAFAKARI juhudi hizi ni za kuungwa mkono pasi na shaka lakini tusisahau kisarawe kuna watoto wakiume pia nao wanachangamoto na Mkuu wa wilaya anasehemu pia ya kuwasaidia tusije jenga jamii yenye tabaka pasipo kujua siku zijazo.
 
Idea yake ni watoto wa kike, wewe hiyo wa kiume ni ya kwako

thanks to god the almighty
 
Kila kitu kike kike kike, tunawaangalia tu ipo siku watatutawala kimwili hawa na hivi wanazaliwa kwa fujo yangu macho
 
Hawa dawa yao ndogo

Anatokomeza zero madogo wakimaliza tunawatia mimba tunaanza UPYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Hivi karibuni Mkuu wa wilaya Mh. JOKATE MWEGELO amefanikiwa kushawishi wananchi kusaidia wanafunzi wa kike katika wilaya ya kisarawe kwa kuanzisha kampeni ya TOKOMEZA ZERO ambayo amepata michango kutoka kwa watu mbalimbali nchi.
NATAFAKARI juhudi hizi ni za kuungwa mkono pasi na shaka lakini tusisahau kisarawe kuna watoto wakiume pia nao wanachangamoto na Mkuu wa wilaya anasehemu pia ya kuwasaidia tusije jenga jamii yenye tabaka pasipo kujua siku zijazo.
Nakuunga mkono kabisa!
 
Back
Top Bottom