Tafakari ya Mwanakijiji leo...


thats exactly is the point; kiongozi akishindwa kwa hoja ashindwe; akishindwa kushawishi ashindwe asi resort kwenye kutumia njia nyingine ambazo hazileti ushawishi. Fikiria kwa mfano, serikali iamue kujenga hilo bomba la gesi kwa nguvu na kuhamisha wana kijiji na watu wakaandamana na wengine kujeruhiwa wengine watasema "serikali imesema" mimi nitasema "serikali imeshindwa kushawishi".

Kama serikali haiwezi kushawishi haipaswi kuendelea na mradi
 
Sisi unaotuita wajinga wa kufikiri,

Sijawahi kumuita mtu mjinga wa kufikiri usianze kwenda ambako si kwenda. NImesema kitu ambacho kiko dhahiri. Baadhi ya watu mara moja (kwa sababu ya preconceived ideas) waliamini kuwa nazungumzia exclusively kuhusu suala la BAVICHA. Halikuwa lengo langu.

Nataka nikuhakikishie hatusomi thread tukaishia hapo, we take it kidogo to next level of thinking.
1. Kauli/Thread hii imeandikwa na nani?
2. Thread hii imeandikwa wakati gani?
3. Thread hii imeandikwa katika mazingira gani?

Acha kujishusha hivyo; sijamuita mtu mjinga. Kufikiri kwa mwelekeo mmoja tu (BAVICHA) siyo ujinga.
4. Thread hii inamlenga nani? (For this matter OK as you've Just said MTWARA,Uongozi wa Vyama, BAVICHA)
Baada ya hapo sisi 'wajinga' ndio Analysist.

sawa; hili mbona wala si tatizo.

Despite all. I still respect you MMK[/QUOTE]
 
ok alitimiza ahadi ,ila katika uongozi huoni wapo wasaliti ambao binafsi ama wametumwa kuhujumu uongozi/taasisi fulani?
Kiongozi hapasi kuwa dikteta,ila kama ni kwa manufaa ya wengi na faida kwa taifa ni vizuri kuwa dikteta,Huwa siku zote mwili na akili huwa zinatofautiana ila kwa manufaa yako na jamii hutumia udikteta kuukandamiza mwili wako mwenyewe
 
Mm siamini mia kwa mia hoja wa Mzee Mwanakijiji . uongozi ni pamoja na udiktete ktk uongozi na utendaji bora.
 
Shukran kwa busara naona siku hizi unatoa mawazo ya ki-utu uzima.au mambo yaelemea kwa uwapendao
 


Binafsi sikuwa mbali na wewe nilijua unazungumzia general context katika uongozi lakini kwa kuwa na issue ya CDM umeigusia na kwa sasa ndiyo iko burning sidhani kama ulitegemea watu wasi link bandiko lako hili na hiki kinachoendelea CHADEMA.

Napingana na wewe kwenye eneo la kuviziana na kutegana. Maana ili uvizie na kutega lazima umeshapata taarifa za uovu au uhaini dhidi ya taasisi. Walichokifanya CHADEAMA katika hili si kuvizia na kutega ni wao kuwa na tetesi za uovu/uasi na kuweka mtego. Iwe ni kwa kupandikiza mtu wa kushiriki uasi (participant observing/recording intelligence) ili baadaye aje na taarifa/ushahidi usio na mashaka kwa ajili ya hatua zaidi. Katika hili CHADEMA wamefanikiwa na wametegua bomu baya sana na ambalo nashawishika kuamini akina Mwigulu Nchemba na Wassira ndiko walikuwa wameweka imani yao.

Ndiyo maana katika sakata zima linaloendelea kama kweli kuna mtu alitumwa na Menejimenti ya CHADEMA kufuatilia usaliti/uasi wa baadhi ya wanachama wake sioni tatizo lolote as far as kama chama lazima muwe na intelejensia ambayo itanusa masuala mazito kama haya. Vinginevyo chama hakiwezi kufika kokote.
 
Mzee Mwanakijiji,
Mwalimu pamoja na ushawishi mkubwa sana aliokuwa nao kwa Watanzania kuna mambo ilikuwa inabidi alazimishe yafanyike:
-Utakumbuka suala la watu kuhamia kwenye vijiji lilivyomhangaisha;
-Unajua pia alivyolazimisha kura tatu kule Tabora;
-Kuna baadhi ya viongozi walifukuzwa TANU na baadae CCM wakati chama cha siasa kilikuwa kimoja tu!
Ukiacha hayo ya zamani sana, sasa hivi sote tumeshindwa kuwashawishi WATANZANIA waone kwamba CCM haitufai. Wala hatutaweza mwaka 2015! Watu wezi kabisa ndio wanaotarajiwa kuwa marais wetu.
 
Mwanakijiji,
Hii Ndio tafsiri pekee unayoijua ya Uongozi? Hii tu,, y. UONGOZI NI USHAWISHI? hiyo tuuu,, kweli?
 

- Haya maneno yameandikwa na mtu ninayewaambieni all the times anafaa kugombea Urais huko kwenu, huyu Dr. Kitila na Zitto, basi ndio wanafaa, wengine wote hawafai kiongozi ni yule anayeweza kukosoa bila kuogopa nyie mmezoea kuogopana na kutishana tishana tu, sasa hapa mmepewa kubwa yao ona mnavyohangaika hangaika, tulizeni boli tafakari hapa!!

le mutuz
 
what i see ni kwamba MWANAKIJIJI NA ZITTO wana urafiki wa hali ya juu sana,na ni mtu anaempa backup ya kutosha sana katika mazingira tatanishi,wanachofanya ni kujivunjia heshima zao
 
sisi waislam tunaamin siku zote mtu ukitaka kufaulu maishani basi subiri kwa rah'mani,ikitimia miadi wa juu hurudi chini,kama kubeba boxi nje ya nchi kumeshinda utawezaje kujenga hoja??kichwa kazi yake ni kufikiri,wewe ukaamua kwa khiyari yako kukimbilia nje ya nchi kwenda kukiharibu kichwa chako kwa kubebea mabox,ona upeo wako ulivokosa maono ya mbali,
huelweki unacheka au unalia,umeyagharim sana maisha yako,unatia huruma sana,,
unatembea hali ya kuwa ushakuwa maiti mda mrefu sana,pole sana ndugu yangu
 

[h=2]Tafakari ya Mwanakijiji leo...[/h]
- Wachana na mimi huu ni mfupa umemshinda fisi wewe huuwezi, jadili hoja wachana na watu soma maneno ya mwanaume hapo juu kudadeki!!

le mutuz
 
Tafakari ya Mwanakijiji leo...



- Wachana na mimi huu ni mfupa umemshinda fisi wewe huuwezi, jadili hoja wachana na watu soma maneno ya mwanaume hapo juu kudadeki!!

le mutuz


Eti eeh,kama ulimshinda fisi,basi sisi tutaufanya namna hii :croc::croc::croc:,kisha tunakulipua like :boom::boom::boom::boom::boom:
 

Tungeweza kuongea zaidi kama ungeweka case study unless itakuwa ngumu kukosoa ulipokosea kutoka kwenye message ya kwanza.

Hata huyo Nyerere pamoja na ushawishi kuna baadhi walimhujumu na alipogundua ALIWASHUGHULIKIA IPASAVYO.

Kitu ambacho unapaswa kusema ni kuwa; katika uongozi...ushawishi ni hatua ya kwanza katika kundi husika au kundi fulani. Ila kuna hatua zinafuata na ya mwisho zikishindikana zote ni wewe kiongozi kujiuzulu.
 
mwanakijiji falsafa za aina hii huwa ni ngumu sana kwenye jamii zenye njaa kama tanzania. Kwa mtanzania akiahidiwa hela hata cheo anasahau hata wenzake, jamii au familia yake kwa taaabu zinazowapata
 
Tafakari ya Mwanakijiji leo...



- Wachana na mimi huu ni mfupa umemshinda fisi wewe huuwezi, jadili hoja wachana na watu soma maneno ya mwanaume hapo juu kudadeki!!

le mutuz.......

Wewe ndiye mfupa walioshindwa wengi?????? akili yako naona haiko sawa na kama haiko ikosawa basi unashikiwa na watu wengine. Fikiria watu wengine wala sio wewe kama wewe.

Ulishawahi ishi kijijini kule ambako wana jimulikia kwa kutumia kijinga cha kuni, mlo mmoja au kushindia uji?
 

Uongozi ni utumishi, ni kuonesha mfano, ni ujenzi wa taifa (kisiasa, kiuchumi, kijamii, kimaadili etc). "Tawi linalozaa baba hulitunza... lisilozaa hulikata..."
 
Mgema akisifiwa....................
Field ni sehemu ya mwisho ya kujifunzia/kufanyia jambo kama ukifeli field ndiyo mwisho ya darasani ni muongozo tuu wa kufika field.Tunakukaribisha ktk uongozi na dhani tutajifunza mengi tukiwa Field.
 

CDM haina tabia ya kulindana kama nyinyi. Mnalindana mpaka mnazalisha makundi kibao, ngoja tuone ili linaloanzisha la Wasira kuutaka Urais, hii ni njama ya makusudi kama ile alivyofanyiwa Six na chenge. Akitokea kirusi tunakipulizia dawa mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…