Tafakari na picha

Tafakari na picha

Nimekua natazama video za hiki tukio la uzinduzi...Mimi Sina fani yoyote ya kijasusi ila Kuna mambo nmenotisi kwa akili yangu ya kilevii...

*Mkasi wa kukatia utepe..alivyomaliza kukata utepe akashika maeneo ya pua..

*Wakati wa kuingia Kuna giza lilitokea gafla kama kamera ilikua giza gafla

*Mtazameni ponjoro..unapotaka kumuondoa mtu ama uko katika mipango ya kufanya hivyo Kuna lugha ya mwili hua inazungumza tu yenyewe ..sura inazungumza tu yenyewe...wenye macho makali ndio huona...

* Maiki ya njano kwa nyeusi...sielewi kua kwanini mwenyeji aongee na maiki ya nyeusi na mgeni ya njano...

* Security details, yule mwamba aliekua anatembea nae sana mheshmiwa hakuonekana siku hio...why?
Duh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom