Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,254
Ni kama story lkn kunajambo lakujifunza kwetu:
Baba 1 alikuwa anaosha gari lake jipya, mwanae mdogo 5yrs old akalichora hilo gari ubavun na jiwe. Baba alivyomwona mtoto anachora akakurupuka na kumbana mkono kwa plaiz ikapelekea vidole 3 kuharibika. Wakiwa hospital mtoto akatakiwa akatwe vidole vile 3, mtoto akamuangalia baba yake; akamuuliza, vitarudi tena? Baba akaumia sana, akarudi kwenye gari aone mtoto kachora nini, kakuta mtoto kaandika Dady i love you. Kanuni ya maisha ni watu wapendane na vitu vitumiwe, lakini tatizo la walimwengu wa leo, wanapenda vitu kuliko watu. nakutakia
TAFAKARI njema.
Baba 1 alikuwa anaosha gari lake jipya, mwanae mdogo 5yrs old akalichora hilo gari ubavun na jiwe. Baba alivyomwona mtoto anachora akakurupuka na kumbana mkono kwa plaiz ikapelekea vidole 3 kuharibika. Wakiwa hospital mtoto akatakiwa akatwe vidole vile 3, mtoto akamuangalia baba yake; akamuuliza, vitarudi tena? Baba akaumia sana, akarudi kwenye gari aone mtoto kachora nini, kakuta mtoto kaandika Dady i love you. Kanuni ya maisha ni watu wapendane na vitu vitumiwe, lakini tatizo la walimwengu wa leo, wanapenda vitu kuliko watu. nakutakia
TAFAKARI njema.