kama umeoa au umeolewa au una rafiki wa kike au wa kiume,kumbuka siku ya kwanza mlivyokutana naye ukampenda naye akakupenda
mkakubaliana kupendana na mkapeana ahadi za kuwa pamoja.Amekuwa nawewe wakati wa shida na raha amekusaidia mengi bila malalamiko
anakupenda anakujali anakuheshimu anakufanyia yote mazuri ila wewe unaona hafai unaenda kutembea na mtu mwingine kwa ajili ya tamaa
za mwili au za mali au za starehe.anakuja kugundua unamcheat anaamua kukusamehe baada ya muda unarudi kuleklule.Jaribu kujiweka kwenya
hali hiyo kuwa ingekuwa niwewe ungefanyaje na kumbuka ahadi ulizozitoa mwanzoni tafakari haya fanya uamuzi
mkakubaliana kupendana na mkapeana ahadi za kuwa pamoja.Amekuwa nawewe wakati wa shida na raha amekusaidia mengi bila malalamiko
anakupenda anakujali anakuheshimu anakufanyia yote mazuri ila wewe unaona hafai unaenda kutembea na mtu mwingine kwa ajili ya tamaa
za mwili au za mali au za starehe.anakuja kugundua unamcheat anaamua kukusamehe baada ya muda unarudi kuleklule.Jaribu kujiweka kwenya
hali hiyo kuwa ingekuwa niwewe ungefanyaje na kumbuka ahadi ulizozitoa mwanzoni tafakari haya fanya uamuzi