MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,057
- 1,371
Eti moto wa waislam hamtauweza, moto upi? Ujinga huu wa kuamini wakristo ni waoga na kwa hivyo ni dhaifu umewaingia akilini na umeanza kuwaathiri baadhi ya vijana wa kiislam.
Wapi ambapo waislam wa tz walifanya mapambano tukajua moto wao ni mkali? au kule kuachiwa na serikali muandamane kupinga filamu ya muhamad kumewajengea jeuri?
Hivi unataka kusema panga atakalokatwa mkristo lina maumivu tofauti na atakalokatwa mwislamu? Au huzuni ya kufiwa na ndugu kwa mkristo ni tofauti na kwa mwislam!
mbona kama mna nguvu mmeshindwa kumtoa ponda hapo tu ukonga? Nani asiyeona, kwamba tangu serikali ilipoanza kuwatandika hamjitokezi kuandamana kwa wingi kama siku za nyuma?
sikiliza ndugu yangu..
Sie wote ni watanzania, wote tunafahamiana na tunaishi vizuri kwa amani, tusaidiane kuendeleza umoja wetu kama mwalimu nyerere alivyotuacha..vita vya dini havina mshindi, nchi imevamiwa na magaidi kupitia zanzbar tuungane kuwaondoa na sio kupeana vitisho vya kitoto humu jf
Sasa Padre Mmoja F.B.I wa nini? Au tayari Mmeshapiga simu Ufaransa waje na Madege yao! Man to Man mnaweza? Nitajie nchi yoyote ambayo Waislamu walipambana na Serekali, bila Waislamu kupigwa na Umoja wa Mataifa. Taja!. SOMALIA, AGHFANISTANI, IRAQ, CHECHNIYA, PALESTINA, MALI, BOKO HARAM. Taja. The Cowards. Still Aghfanistani Bado NATO yote imeshindwa kuweka Amani 12 years later. For your Information TANZANIA, will be more than Aghfanistani!
Sheikh Ponda kwa taarifa yako, Serekali inaangaika Misikitini kila siku kuwaomba Mashekhe Kuwazuia Waislamu Wasiandamane, Kama mna Ubavu kwanza Pambaneni na Hilo la Kukataliwa na Serekali Kuchinja.
Sisi hua hatuchezi na Propaganda za Media. Tukiamua tunafanya kweli tu. Tukitaka kumtoa Ponda ni Dakika 20 tu Mtaomba msaada Ufaransa. Mbagala Chupuchupu Muwaite Wafaransa, wakati wale walikua ni watoto wa Madrasa tu.
SOMA ALAMA ZA NYAKATI VIZURI.