msema_kweli
Senior Member
- Nov 6, 2013
- 178
- 101
Katiba kutokufuatwa,umungu mtuKila siku tunauliza hatujibiwi... dhambi anayokemea huyo askofu ni ipi? Tukianzia hapo tutajua uhalali wa kauli yake.
Katiba kutokufuatwa,umungu mtuKila siku tunauliza hatujibiwi... dhambi anayokemea huyo askofu ni ipi? Tukianzia hapo tutajua uhalali wa kauli yake.
Kila siku tunauliza hatujibiwi... dhambi anayokemea huyo askofu ni ipi? Tukianzia hapo tutajua uhalali wa kauli yake.
Ndo udicteta huo wanao tuhumiwa nao, kwamba marufuku kukosolewa hadharani??.......kitu kidogo kimekuwa mis-handled namna hii, kwa makubwa itakuwaje?Kama viongozi wa Kisiasa wanaheshimiwa makanisani na kupewa nafasi ya kuzungumza neno,busara hiyo hiyo ingetumika kuwakumbusha kutenda haki.
Baba au Mama hawashambuliani sebuleni
Magidi alikuwa wa zamani enzi za Rai kabla ya kuuzwa.Ukishaona mtu anaanza na maneno haya katika andiko lake "" tafadhali usininukuu"" tayari naye hapendi kukosolewa.
Mdogo wangu mjengwa umeanza kukengeuka haukai tena kwenye hoja kama zamani.
Jifunze kuusimamia ukweli na sio kuyumbishwa kwa minajili ya kutafata UDC au vyeo vingine.
Umemkaribisha wa nini kusema neno kanisani? Umempa heshima wewe mwenyewe. Iweje umseme hadharani? Je ile heshima uliyompa mara ya kwanza umeifuta?Ndo udicteta huo wanao tuhumiwa nao, kwamba marufuku kukosolewa hadharani??.......kitu kidogo kimekuwa mis-handled namna hii, kwa makubwa itakuwaje?