Tafadhali ushauri una hitajika

Tafadhali ushauri una hitajika

BIF

Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
47
Reaction score
10
Wana JF samahani kwa kuleta topic hii hapa,ila nahitaji msaada kwa yoyote aliekwisha fanya Interview kwenye hii tume ya ajira,Mimi nimeitwa kwenye Interview ambayo itafanyika tarehe 30 mwezi huu ivyo nahitaji kudokezwa mambo ambayo ni muhimu kuwa nayo na aina ya maswali ambayo wanapenda kuuliza kwa nafasi ya "COMPUTER OPERATOR"
Nahitaji mawazo yenu wakuu japo si mahali pake hapa.
 
Wana JF samahani kwa kuleta topic hii hapa,ila nahitaji msaada kwa yoyote aliekwisha fanya Interview kwenye hii tume ya ajira,Mimi nimeitwa kwenye Interview ambayo itafanyika tarehe 30 mwezi huu ivyo nahitaji kudokezwa mambo ambayo ni muhimu kuwa nayo na aina ya maswali ambayo wanapenda kuuliza kwa nafasi ya "COMPUTER OPERATOR"
Nahitaji mawazo yenu wakuu japo si mahali pake hapa.

naona kama umekosea jukwaa mkuu.
 
usijali hata kama umekosea jukwaa, mods watahamisha.

Sijawahi kufanya usaili huo, ila kama una uzoefu wa kazi sioni cha kukutisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom