Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,368
Ulikosea sana dada kushika mimba wakat hujui msimamo wa mwenza wako.
Na kwann ushike mimba wakat hata mahari hujatolewa?
........ Binafsi nawalaumu sana wanawake wanaoridhika na maneno ya wapenzi wao wakat hata hawajaanza hatua hata moja ya ndoa.
Sisi wanaume tunakumbwa na tamaa hvyo tunalazmika kutumia hata udanganyifu lakn tunasahau kuwa tunasababisha watoto wa mitaan
Na kwann ushike mimba wakat hata mahari hujatolewa?
........ Binafsi nawalaumu sana wanawake wanaoridhika na maneno ya wapenzi wao wakat hata hawajaanza hatua hata moja ya ndoa.
Sisi wanaume tunakumbwa na tamaa hvyo tunalazmika kutumia hata udanganyifu lakn tunasahau kuwa tunasababisha watoto wa mitaan