tafadhali soma hapa

tafadhali soma hapa

Ulikosea sana dada kushika mimba wakat hujui msimamo wa mwenza wako.
Na kwann ushike mimba wakat hata mahari hujatolewa?
........ Binafsi nawalaumu sana wanawake wanaoridhika na maneno ya wapenzi wao wakat hata hawajaanza hatua hata moja ya ndoa.
Sisi wanaume tunakumbwa na tamaa hvyo tunalazmika kutumia hata udanganyifu lakn tunasahau kuwa tunasababisha watoto wa mitaan
 
tangu nimefika mwenzangu hana kabisa mapenzi na mimi, mapenzi yamepungua kabisa kwangu tangu nimepata ujauzito napenda kula udongo jana kauona kasema SITAKI UDONGO NYUMBANI NDANI KWANGU.
nimejaribu kumuelewesha unatokea nataman tu hata mimi siipendi hanielewi kabisa inshort hana mapenzi na mimi
wanajamvi nifanyeje nimrudishe katika hali yake ya kawaida??? .


hebu uwe unameza zile dawa ulizopewa clinic kwaajili ya kuongeza damu , zitakusaidia sana na hatimaye utaweza kuacha kula huo udongo........

kisirani cha ujauzito wakati mwingine hutokea kwa mwanume , jitahidi kutokumfuatilia sana anapokuwa na chuki dhidi yako.
 
vumilia na kula udongo wako kimyakimya asikukute hata cku moja....ukiwa unakula udongo
 
Ulikosea sana dada kushika mimba wakat hujui msimamo wa mwenza wako.
Na kwann ushike mimba wakat hata mahari hujatolewa?
........ Binafsi nawalaumu sana wanawake wanaoridhika na maneno ya wapenzi wao wakat hata hawajaanza hatua hata moja ya ndoa.
Sisi wanaume tunakumbwa na tamaa hvyo tunalazmika kutumia hata udanganyifu lakn tunasahau kuwa tunasababisha watoto wa mitaan

hapo tunakosea wengi
 
Kwanza nikupe hongera yako mdada kwa kujitoa mhanga katika hili. Umechukua uamuzi mgumu wa kumtegeshea mimba nadhani ni baada ya kuona mahusiano yenu hayana uelekeo. Utakuta uchumba mtu anakaa miaka bila ya kukuoa hapo swala la kubeba mabomu na kujilipua linahusika asee. Ni wazi sisi wanaume ni wabishi mno kuliendea suala la ndoa. Nakuhakikishia atakuchukia kwa muda tu kiumbe kikishakuja duniani mwenyewe atajirudi. Afu hapo hatoki yani ndo ishakula kwake hivyo. Msubiri love connect aje atawaunganisha tu.
 
vip hauwez kusimama kwa miguu yako ukamlea mwanao , umeniudhi sana eti kulea mwenyew kaz sasa ni bora kuishi na mtu ambaye akupendi, Namshukuru mwenyez Mungu naeza kusimama mim kama mimi kwa sababu nmesoma nina kazi yang na kizur zaidi naplan kusoma masters lsiti ningekuwa ni wewe nisongeenda kwa hyo mwanaume bali ningemlea mwanang mwenyewe
 
Mimi ni mwanamume, nitakachokuambia ni sahihi kwa asilimia 93.
Huyo jamaa hana mapenzi na wewe kabisaa, hakuwahi kuwa na mpango wa kukuowa na hiyo mimba imeingia bila nyie kupanga kwamba sasa mzae, amekupokea kwa sababu tu hana jinsi, vinginevyo asingekupokea kabisa. Hapop kuna mawili, huenda ukishazaa mtoto anaweza kurejea kwenye furaha yake nakukubali matokeo kwamba tayari ameshakamatika na hana jinsi, baadaye mazowea yatachukua nafasi na kukubali reality. Au kama ni kichwa ngumu basi ndiyo utaishi kwa shida tu namna hiyo.
Ushauri wangu kwako.
Kaa naye mfungukie wazi, mwambie kwa upole akueleze kwa nini hakupendi na amebadilika baada ya wewe kupata ujauzito. Muulize ni nani aliyeingilia furaha yenu, ni huyo mgeni aliyeko tumboni, ni wewe umeishiwa mvuto,ni mapenzi tu yamefika ukomo au kuna mtu mwingine pembeni, usipepese jicho na useme ukiwa umemkodolea bila kurembua jicho. Muulize ni plan gani aliyonayo kwa kuzingatia kwamba kuna mgeni anakuja. Jaribu kushirikisha akil yakokung'amua ukweli.

Mwisho wa siku maisha yako ni wewe, kama mpenzi haeleweki subiri mpenzi wako wa kweli yuko tumboni atakufariji kwa kila kitu, labda kama hauna kipato hilo ni jaribu jingine. Mtoto huwa anakuja na baraka zake, hopefully ukizaa mambo yatakaa sawa, yasipokaa sawa angalia ustaarabu.

Ushauri mzuri. Ikibidi hata wazazi anaweza kuwashirikisha.
Funzo: wasichana msiwe wepesi kubeba mimba / kuwapa wanaume K. Wanaume ni washenzi sana, mimi ni mwanamume, tuko hivyo. Wachache ni waungwana hasa kizazi cha sasa
 
ivi kwani MWAFIKIRI NI RAHISI SANA KU LET GO, KULEA MTOTO MWENYEWE DUNIA HII BILA MSAADA WA MUME SI RAHISI, MSIRAHISISHE, WENGI MNAKUJA MWASEMA ETI JIPANGE, HUWEZI LEA MWANAO NA BLAH BLAH KIBAO,
ITS NT EASY.

Hakuna aliyesena ni rahisi kulea mtoto mwenyewe ila kuna haja gani ya kung'ang'ania usipopendwa?

Mpaka afukuzwe kwa vipigo usiku wa manane?

Asome alama za nyakati pia tembo hashindwi kubeba mkonga wake...
 
ivi kwani MWAFIKIRI NI RAHISI SANA KU LET GO, KULEA MTOTO MWENYEWE DUNIA HII BILA MSAADA WA MUME SI RAHISI, MSIRAHISISHE, WENGI MNAKUJA MWASEMA ETI JIPANGE, HUWEZI LEA MWANAO NA BLAH BLAH KIBAO,
ITS NT EASY.
Kama mtu ana kipato hawezi kulea mtoto?
 
ivi kwani MWAFIKIRI NI RAHISI SANA KU LET GO, KULEA MTOTO MWENYEWE DUNIA HII BILA MSAADA WA MUME SI RAHISI, MSIRAHISISHE, WENGI MNAKUJA MWASEMA ETI JIPANGE, HUWEZI LEA MWANAO NA BLAH BLAH KIBAO,
ITS NT EASY.

kama kazi yako ni kuchanua miguu ndiyo upate senti kweli itakuwa ngumu, mwanamke mwenye shughuli zake wala hana shida, mbona tunawaona wengi ndugu yangu, mwanamke anakomaa mpaka baadaye mwanamume mwenyewe tu anaanza kujipendekeza na vijisenti vyake wakati mtoto keshakuwa mkubwa!
 
Back
Top Bottom