Model: Md239b
version: 5.1.1(9b206)
serial no.: Dnvhnqdsdtd2
pole sana mkuu, ili kuUnlock baseband 04.11.08 inabidi kuifanya Factory Unlock.. ingekuwa ni baseband 02.10.4, 03.10.01 na 04.10.01 ungeweza kutumia Gevey Sim, na baseband 01.59 ungeweza kuUnlock kwa kuJailbreak lakini baseband 04.11.08 lazima uifanye Factory Unlock ambayo inagharimu 50,000/= au zaidi inategemea na kampuni iliyo ilock!!Model: Md239b
version: 5.1.1(9b206)
serial no.: Dnvhnqdsdtd2
Moderm firmware: 04.11.08
pole sana mkuu, ili kuUnlock baseband 04.11.08 inabidi kuifanya Factory Unlock.. ingekuwa ni baseband 02.10.4, 03.10.01 na 04.10.01 ungeweza kutumia Gevey Sim, na baseband 01.59 ungeweza kuUnlock kwa kuJailbreak lakini baseband 04.11.08 lazima uifanye Factory Unlock ambayo inagharimu 150,000/= au zaidi!!
Jaribu kuwasiliana na huyu Jamaa, huwa anapata Gevey Sim mpya zinazoSupport baseband mpya....
CiSH Phones
Mosque Street.
Contacts-0715101001, BB Pin 297052D4(jina Rizwan Remtulla) Dar es Salaam.
Model: Md239b
version: 5.1.1(9b206)
serial no.: Dnvhnqdsdtd2
hivi hapo kwenye red huwa unamaanisha nini maranyingi naona unaandika hivyo ila nasahau kukuuliza??:noidea:Hi unataka kufungua iphone yako? Kwanza unaweza kutembelea tovuti hii Mobileunlocksolutions.com hapa unaweza kupata huduma kijijini kurejelewa na kufungua iphone yako kwa urahisi.