We wa hovyo sana.Habari wana JF,
Nipo hapa naangalia clouds 360 on Saturday Kibamba katolea mfano Mh Lowassa kuwa wakati wa kipindi chake aliingia mkataba wa kitapeli na kampuni ya Victoria ili kusambaza maji Dar es salaam na maji hayakutoka hivyo kufungua kesi kimataifa ambapo serikali ilituma wanasheria na kuwalipa Tsh bilioni 2 bila mafanikio.
Sasa maswali kwa kibamba hivi Ni wakati wa Lowassa tu ndo mikataba ya kitapeli ilisainiwa?
Hiyo mikataba ya makinikia kusafirishwa nje ilisainiwa na kipindi cha Waziri Mkuu nani na chini ya serikali gan? Kama lengo lake Ni kuongelea mikataba ya kitapeli mbona kaongelea wakati wa lowassa Tu?
Kibamba ametolea mfano wa lowassa na mkataba wa kampuni ya Victoria,wewe unaleta mambo ya makanikia,jibu hoja ya Lowassa kuwapa mkataba matapeli wa victoria,mambo ya makanikia fungua thread yake