Habari wakuu.
Pamoja na yote unayokumbana nayo ktk kazi yako. Tafadhali CAG usijiuzulu.
Kitendo cha leo ulichofanyiwa ikulu mbele ya vyombo vya usalama na umma najua kimekuudhi sana.
Ila nakuomba sana usijiuzulu. Ukikosea ukafanya hivyo itakuwa Sherehe kubwa sana kwa fisadi mkuu jiwe. Hilo ndio lengo lake.
Wewe tulia pamoja na visa vyote anavyokufanyia hadharani na sirini.
Ukweli watu wameujua.
Namba hazijibiwi na porojo au vitisho na ubabe..
Swali uliloulizwa umejibu sahihi kabisa.
Ni sawa na mtu aniulize leo. Eti Ben Saanane ameuwawa. Jibu ni Hapana.
Maelezo yake ndo HAJULIKANI ALIPO.
Bado tunasema serikali iseme ipo wapi trillion 1.5?!!!
Duh!Nakumbuka tukivyokuwa shule ya msingi nilifanya tendo la baba na mama na binti mmoja wa darasa langu. Kwa sababu ya utoto nikaenda kuwahadithia ile habari wenzangu darasani. Habari zikamfikia yule binti. Yule binti alivyopata habari akaniita mimi na wenzangu wote pamoja na marafiki zake. Akanisimamisha akaniuliza mbele ya watu wote, "Eti wewe umesema kuwa mimi na wewe tumefanya tendo la baba na mama?". Mimi katika yale mazingira na kwa utashi wangu nikasema "Hapana hatujafanya". Nikakaa. Lakini kiukweli tulikuwa tumelifanya lile tendo.
Wewe unafikiri hata asipojiudhuru atafanya kazi kawaida kama mwanzo?Mimi nina wasiwasi huo pia Mkuu, baada ya kudhalilishwa leo hadharani hataona umuhimu wa kuendelea kuwepo na akiondoka kitaletwa kikaragosi cha jiwe ambacho hakitagusa ovu lolote lile bali kula bata zake kimya kimya. Angalia TAKUKURU! Pale hakuna chochote cha maana kinachoendelea zaidi ya kutafuna mabilioni ya walipa kodi.
CAG najua huwa unapita humu nami nakuomba sana usijiuzulu Taifa linakuhitaji kuliko wakati mwingine wowote ili kupambana na maovu chungu nzima ndani ya hii Serikali na taasisi zake mbali mbali.
*ningejiuzuluingekuwa mimi CAG ningejiudhuru sio tu kwa kusimamishwa bali kwa kudhalilisha u profesa wake,kwa maelezo ya naibu waziri fedha ina manisha CAG hakujua kuwa zile ni recevable! na hakujua kuwa TRA wanatumia mfumo wa accrual basis richa ya kupelekewa nyaraka na serikali na kwa maana hiyo ile report yake yote haina maana na ni takataka
Hivi hii ni ishu ya Prof kujiuzulu?.Mimi nina wasiwasi huo pia Mkuu, baada ya kudhalilishwa leo hadharani hataona umuhimu wa kuendelea kuwepo na akiondoka kitaletwa kikaragosi cha jiwe ambacho hakitagusa ovu lolote lile bali kula bata zake kimya kimya. Angalia TAKUKURU! Pale hakuna chochote cha maana kinachoendelea zaidi ya kutafuna mabilioni ya walipa kodi.
CAG najua huwa unapita humu nami nakuomba sana usijiuzulu Taifa linakuhitaji kuliko wakati mwingine wowote ili kupambana na maovu chungu nzima ndani ya hii Serikali na taasisi zake mbali mbali.
Eti "china google haiko huru".sasa kwani sisi wachina?
Nimeshangaa sana Mkuu yaani nimeshangaa mno tunashida kubwa sana.Kama mifumo iko vizuri na inafanya kazi kwa sheria, kanuni na taratibu bila kuvunja katiba ya nchi, sioni sababu ya kuulizana maswali kama mko darasani kwa lengo la kupata publicity, if you act smart jamii itakuelewa tu, hauna haja ya kuuliza maswali ya kutafuta sympathy kwa wananchi, shukrani!
Hivi hii ni ishu ya Prof kujiuzulu?.
Haya ni majibu ya mtu aliepanic na haamini kile kinachotokea sasa. Mnaumbuliwa kweupeeeeeeSiwezi kubishana na na mtu anae mtumikia kafili aisee mimi najiamini na maisha yangu na huwa naumia sana kuona hii nchi watu waki ishi kwa tabu kwajili ya watu wavhache kama nyie.
Sikh hizi kila hafla anaita wakuu wa vyombo vya usalama, ili kutisha watu, kulikuwa na ulazima gani CAG kuwepo pale??Kama mifumo iko vizuri na inafanya kazi kwa sheria, kanuni na taratibu bila kuvunja katiba ya nchi, sioni sababu ya kuulizana maswali kama mko darasani kwa lengo la kupata publicity, if you act smart jamii itakuelewa tu, hauna haja ya kuuliza maswali ya kutafuta sympathy kwa wananchi, shukrani!