Tabora: Basi la Adventure limepata ajali, lasababisha kifo

Tabora: Basi la Adventure limepata ajali, lasababisha kifo

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,715
Reaction score
59,251
Ajari mbaya imetokea Tabora. Abilia kampunI ya adventure kutoka Mwanza kwenda Mpanda, imeanguka mbele ya kijiji cha Ipole Wilayani Sikonge mkoani Tabora na kwa taarifa ni amefariki mtoto mmoja na wengine wengi wamejeruhiwa. Basi limepata ajali saa kumi jioni* amethibitisha kamanda wa polisi wa mkoa huo

Tunaomba wakati tukizidi kufuatilia taarifa zaidi, wale wenye ndugu zao waliosafiri na adventure tokea mwanza kuelekea mpanda tunawaomba mfanye mawasiliano na ndugu zenu ili kufahamu hali zao.
292c31bb0dfcb6004125a1a067ef9e65.jpg
ec298615d74bee416af2ad81c81bd021.jpg
03924680d1a2e72e0d7f5f891b5081a0.jpg
12ff9f46f9cfd73cac3ec78870f5a49c.jpg

Report from WATIL Sikonge
 
Looooo! May their soul rest in eternal peace
 
So sad kwa kweli...Pole nyingi ziwafikie wafiwa na Mungu awajalie heri majeruhi
 
Wapumzike kwa amani na majeruhi Mungu awafanyie wepesi katika uponaji
 
Ukweli hawa jamaa wanakimbia sana na barabara mbaya mno,
 
nilikua mmoja kati ya wahanga humo lakini waliofariki ni watu saba na mwingine mtoto kafariki hospitali, mama wa mtoto huyo ana asili ya kihindi hadi leo hatujui yupo wapi,?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom