Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,933
- 4,706
Kuna tread moja ilikuwa hapa jamvini siku chache zilizopita ikiwa na uzi wa utabiri wa mwinjilisti fulani kutabiri kuwa Man City ndie bingwa wa premier league mwaka huu. Wakati akitabiri hayo man United ilikuwa mbele ya City kwa point 8, na mechi kama sikosei zilikuwa zimebaki sita. Kwa yaliotokea jana nashawishika kumwamini huyu mwinjilisti. Nafuatilia kwa makini katika hizi mechi mbili zilizobbaki na utabiri wake ukilenga shabaha namtangaza rasmi kuwa mwonaji. Wenye kutilia mashaka utabiri na wafungwa wa science mnasema je? Nawakilisha.
.
.