Unashangaa nguo za ndani,
wakati kondom zinaingia kuna mkoa mmoja hapa tz
ilikuwa mtu akishanunua akaitumia anaifua na kuianika
then hata jirani anaweza kuja kuiazima na kwenda kuitumia
baada ya kutumia anaiosha na kuirudisha na mzunguko unaendelea
kama kawaida.