Tabia za wanawake wa mkoa wa Mbeya

Tabia za wanawake wa mkoa wa Mbeya

gilldenu

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
2,914
Reaction score
3,022
Habarini ndugu zangu katika pitapita mkoani mbeya nimegundua yafuatayo:

1-Wamama wengi wanapenda kujishughulisha na biashara mbalimbali kubwa na ndogo wengi ni wataftaji....

2- wanawake wengi wenye watoto wadogo hupenda kutembea nao migongoni yani ukikatisha mitaa ya sokoni kila mmama kabeba katoto..

3- wengi wanabeba watoto na kikoi
4- na wanapenda kubeba vikapu kila Kona
5- afu Wamama wana wivu sana
6- Wamama asilimia kubwa wacha Mungu....
Ni hayo tu jaman karibuni sana Mbeya bila kusahau mawife material wamejaa uu mkoa jaman...
Karibuni mbeya
NB: went mapovu mnakalibishwa....


LOVE ABOVE ALL
 
Wanawake wengi wa Mikoa ya kusini ambao wanafanya biashara hawezi kumuachia housegirl mtoto.
Kwanza hamuamini na pia anajua anaweza kumhandle mwanaye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utafiti wako umeishia hapo tu kwa akina mama?
 
Back
Top Bottom