Tabia za wanawake wa karne hii wanakera!!!

Tabia za wanawake wa karne hii wanakera!!!

Sijakuelewa mtoa uzi, je, ukisha mnunulia chakula huwa anakudai chakula tena? Je anakula kupita kiwango cha binadamu wa kawaida? Je, suala lá kula ndo tatizo tu? Jiangalie sana ndugu unaweza usiwe mwanaume wa kawaida km unasumbuliwa na masuala madogo km kula wakati ni wajibu wako
Huwa namtumia nauli elfu 20 au 15 lkn sehemu anakotoka ni elfu moja Kwa bodaboda si ale hukohuko mm ni msela. Yaani hakuna siku aliyokuja bila kusema hajala hata ikiwa saa 12 jioni na hela umemtumia ya ziada, ananikwaza aaagh!!!!
 
Chakula chenyewe sh ngapi???wenzio tunaombwa iPhone 6+ wakat anaona mtu mzima mkononi una tekno joti
 
Kama unajua nauli ya sehemu husika kwanini umrushie nauli ya Dar mpk Moro??? Acha kuji proud ww ndo shida ujue
 
Kwahiyo unataka akija mpige mechi na njaa duh mbona shida saana sasa hapo tu ni wako anaye kupa utamu je ukioa wagen watakula kweli hapo kwako
 
Duu! Mtu kusema hajala ni tabia mbaya! Kwa hiyo mkuu wewe ukimuhitaji anakuja na anakupa unachotaka ila wewe hutaki kumpa hata chakula akija kwako,badilika ndugu yangu.Wewe ni mwanaume na ni jukumu lako kumhudumia mpenzi wako baadhi ya shida zake.
Hajasema ni vibaya, ila ndo kila siku awe hajala? huyu binti ni mlafi na hajitambui
 
Kuna mmoja alinichana live, alifika kw appointment kabla yng nikamwmbia nmepiga cm jikoni nmewaambia wakuandalie ugali kuku...akasema mmmh me siwez kula ugali nipo na ww beby, ugali nakula nyumbani, waambie waniandalie chips mayai
Nikamwambia haya, nenda kawape oda ila huo ugali niachie nitakula mm nikifika!
 
Huwa namtumia nauli elfu 20 au 15 lkn sehemu anakotoka ni elfu moja Kwa bodaboda si ale hukohuko mm ni msela. Yaani hakuna siku aliyokuja bila kusema hajala hata ikiwa saa 12 jioni na hela umemtumia ya ziada, ananikwaza aaagh!!!!
Me nakubaliana na ww, huyu anakwaza
 
Kwa nini baadhi ya wanawake wanatabia za ajabu Sana? Mimi Nina demu mmoja kila nikimuita tuonane anakuja kweli lakini lazima aseme hajala hata kama ni saa ngp atasema sijala dear, naomba ushauri mwanamke huyu anamatatizo gani?
Ana Matatizo ya Njaa.

Hivi kwanini unauliza swali la kiboya hivyo ambalo ulipaswa umuulize mhusika?

Una Umri gani?
 
Kwa nini baadhi ya wanawake wanatabia za ajabu Sana? Mimi Nina demu mmoja kila nikimuita tuonane anakuja kweli lakini lazima aseme hajala hata kama ni saa ngp atasema sijala dear, naomba ushauri mwanamke huyu anamatatizo gani?
Mwandalie chakula ila mnakatana humohumo
 
Back
Top Bottom