Tabia za wanawake wa karne hii wanakera!!!

Tabia za wanawake wa karne hii wanakera!!!

Kwa nini baadhi ya wanawake wanatabia za ajabu Sana? Mimi Nina demu mmoja kila nikimuita tuonane anakuja kweli lakini lazima aseme hajala hata kama ni saa ngp atasema sijala dear, naomba ushauri mwanamke huyu anamatatizo gani?
Aisee
 
Khaaaaaaaaa Yaani wewe ni Mwanaume Mchoyo uliyekosa soni wala haya
 
Mwanamke kama uyo Mimi nngekuwa nmeshampa ukweli..ela unamtumia ya kutosha kabla hajafika kwako alaf akija anataka chakula..uyo nngempa ukweli na kumuacha juu.sipendi kero za kutafuta chakula.
 
ME kama nyie mnanifanya nizidi kumthamini na kumshikilia mwanaume wangu....
Asee i see how blessed i am to have him.....
 
Mwanamke kama uyo Mimi nngekuwa nmeshampa ukweli..ela unamtumia ya kutosha kabla hajafika kwako alaf akija anataka chakula..uyo nngempa ukweli na kumuacha juu.sipendi kero za kutafuta chakula.
kama ajashiba sasa acha basi roho mbaya
 
kama ajashiba sasa acha basi roho mbaya
Labda akanunue mwenyewe!huo usumbufu sitaki na siwezi vinginevyo alale njaa.kama hakushiba kwao aseme kabla hajafika kwangu nimtumie ela anunue chakula uko uko kabsa.
 
Labda akanunue mwenyewe!huo usumbufu sitaki na siwezi vinginevyo alale njaa.kama hakushiba kwao aseme kabla hajafika kwangu nimtumie ela anunue chakula uko uko kabsa.
Jamanii si mdeko tuu na wewe na mbona upo ivyo etiii wee utaki ata kudekeza khaaa
 
Chakula nacho unalalamika?? Akiomba gari itakuwaje?
Acha uhuni aisee binti wa watu chakula.
jiulize angekuwa anakuna kisha hakupi papuchi ungekuwa naye?
Nauli toka alipo hadi kwangu unakuta 1000 tu mtu unamtumia nauli15,000 bdo akifika analalamika njaa tatzo co chakula huwezi msema mtu kisa chakula tabia mbaya sana ila mazingira nayo yanaleta utata vdem vya uswahilini vna kusudi sana saa 11 hujala? cha mchana au jioni!
 
hahaha tabia za kupiga vizinga hizo na zimekubuhu kweli
 
Sijakuelewa mtoa uzi, je, ukisha mnunulia chakula huwa anakudai chakula tena? Je anakula kupita kiwango cha binadamu wa kawaida? Je, suala lá kula ndo tatizo tu? Jiangalie sana ndugu unaweza usiwe mwanaume wa kawaida km unasumbuliwa na masuala madogo km kula wakati ni wajibu wako
 
Back
Top Bottom