Makau Js
Member
- May 25, 2017
- 93
- 233
Siku zinavyozidi kwenda ndio tabia halisi za baadhi ya wanaume zinazidi kuwa dhaifu. Zamani wazazi wetu walikuwa wanazaa nje ya ndoa na waliheshimu mama zetu na walikuwa wasiri wakubwa sana, watoto hujulikana baada ya baba kufa ndio hujulikana.
Siku hizi baadhi ya wanaume wana tabia za kike kwa udhaifu wa kutokutunza siri vifuani mwao, akipata mwanamke wa nje anasahau kabisa familia yake na ndio maana ndoa zetu zimekuwa hazina mvuto kwa kukosa baadhi ya tabia halisi za wanaume.
Siku hizi baadhi ya wanaume wana tabia za kike kwa udhaifu wa kutokutunza siri vifuani mwao, akipata mwanamke wa nje anasahau kabisa familia yake na ndio maana ndoa zetu zimekuwa hazina mvuto kwa kukosa baadhi ya tabia halisi za wanaume.