Tabia Za Wanaume Nisizopenda

Tabia Za Wanaume Nisizopenda

Karucee

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
18,179
Reaction score
34,435
1. Kuchokoa pua halafu kama haitoshi kukagua ulichofanikiwa kuvua. Does it look appetising? Take a bite basi usitutapishe.
2. Kurembua na kusema sssss huku unatia kidole/cotton bud kwenye masikio. Sasa tukueleweje? Jikaze mtoto wa kiume, ebo!!
3. Kushangaa shangaa huku mumejishika kiunoni.
4. Kujishika shika maeneo ya nanilii na kujikuna tena ukiwa umetulia hasa. Kama haitoshi unanyanyua nanilii na kukuna chini yake.
Rungu huua wadudu aina zote. Hata Wanaotambaa na kuruka.
5. Kuchokoa meno na kukagua ulichokitoa halafu kutema tema ptuuh ptuuh. I wish I could punch you and make you spit all your teeth!
6. Kujishikashika kifua kama unajiandaa kunyonyesha.
7. Kukagua kila kalio linalokupita. Mpaka ukiwa njiani unasimama. Tena wengine utawasikia kabisaaa wakisema aiseeee huku mkono ushazama kwenye zipu. Arrrghhh.
8. Kutafuna chakula bila discipline. Kama vile meno unayafanyia test.
9. Kujua kila kitu.
10. Kutembea huku unachomoa suruali ilopenya kwenye makalio halafu ukigeuka ukikuta mtu anakuangalia badala ya kusikitika unachekelea.
11. Kutema tema mate.
12. Male chauvinists wanawake hatupumui kisa hoja zako daily za kutuponda.
 
No. 4,6 na 11 nakusapoti, wanakeraaaa ptuuuhhh
 
1. Kuchokoa pua halafu kama haitoshi kukagua ulichofanikiwa kuvua. Does it look appetising? Take a bite basi usitutapishe.
2. Kurembua na kusema sssss huku unatia kidole/cotton bud kwenye masikio. Sasa tukueleweje? Jikaze mtoto wa kiume, ebo!!
3. Kushangaa shangaa huku mumejishika kiunoni.
4. Kujishika shika maeneo ya nanilii na kujikuna tena ukiwa umetulia hasa. Kama haitoshi unanyanyua nanilii na kukuna chini yake.
Rungu huua wadudu aina zote. Hata Wanaotambaa na kuruka.
4. Kuchokoa meno na kukagua ulichokitoa halafu kutema tema ptuuh ptuuh. I wish I could punch you and make you spit all your teeth!
5. Kujishikashika kifua kama unajiandaa kunyonyesha.
6. Kukagua kila kalio linalokupita. Mpaka ukiwa njiani unasimama. Tena wengine utawasikia kabisaaa wakisema aiseeee huku mkono ushazama kwenye zipu. Arrrghhh.
7. Kutafuna chakula bila discipline. Kama vile meno unayafanyia test.
8. Kujua kila kitu.
9. Kutembea huku unachomoa suruali ilopenya kwenye makalio halafu ukigeuka ukikuta mtu anakuangalia badala ya kusikitika unachekelea.
10. Kutema tema mate.
11. Male chauvinists wanawake hatupumui kisa hoja zako daily za kutuponda.

hapo umeua dada angu!!
 
Duh Kwani katiba inasemaje? Mikutano inaendelea...
 
fyyyyyyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu umewaweza leo
 
Wanawake wakizifanya hazikukeri? Au wao hawachokonoi meno? Hawachokonoi masikio? Hawatoi nguo ikiingia fyonto?
 
Hizi ni tabia za mmeo au kila mwanaume? Staarabika dada, andika kabisa kwamba tabia za mmeo usizozipenda.

kinachokufanya uchomoe hiyo suruali huku unacheka ni nini? Chomoa fasta kaza mwendo mtoto wa kiume.
 
karucee sijui kama unajua umenichekesha mbele ya watu.. ngoja tena kesho kutwa uje uniseme "sipendi mwanaume anae cheka na simu" jiongezee like moja nitakuja ku-refund!
 
Acha umbea na urongo mwanangu Karucee. Kwani unawajua wanaume wote au ni kutaka sifa tu? Huwa na baba yako anafanya yote hayo? Kwanini useme wanaume wote utadhani unawajua bila kusema baadhi ya wachache unaowajua? Hujui kuwa na wanawake wanachokoa pua? Hujui kuwa na masugamami hutumia hiyo ssss? Hata ungeongelea wanaume wa kijijini kwako si rahisi kuwajua wote na tabia zao. Mbona huna hata chembe ya utafiti ukiachia mbali hoja na aibu? Shame on you!
1. Kuchokoa pua halafu kama haitoshi kukagua ulichofanikiwa kuvua. Does it look appetising? Take a bite basi usitutapishe.
2. Kurembua na kusema sssss huku unatia kidole/cotton bud kwenye masikio. Sasa tukueleweje? Jikaze mtoto wa kiume, ebo!!
3. Kushangaa shangaa huku mumejishika kiunoni.
4. Kujishika shika maeneo ya nanilii na kujikuna tena ukiwa umetulia hasa. Kama haitoshi unanyanyua nanilii na kukuna chini yake.
Rungu huua wadudu aina zote. Hata Wanaotambaa na kuruka.
5. Kuchokoa meno na kukagua ulichokitoa halafu kutema tema ptuuh ptuuh. I wish I could punch you and make you spit all your teeth!
6. Kujishikashika kifua kama unajiandaa kunyonyesha.
7. Kukagua kila kalio linalokupita. Mpaka ukiwa njiani unasimama. Tena wengine utawasikia kabisaaa wakisema aiseeee huku mkono ushazama kwenye zipu. Arrrghhh.
8. Kutafuna chakula bila discipline. Kama vile meno unayafanyia test.
9. Kujua kila kitu.
10. Kutembea huku unachomoa suruali ilopenya kwenye makalio halafu ukigeuka ukikuta mtu anakuangalia badala ya kusikitika unachekelea.
11. Kutema tema mate.
12. Male chauvinists wanawake hatupumui kisa hoja zako daily za kutuponda.
 
Wanawake wakizifanya hazikukeri? Au wao hawachokonoi meno? Hawachokonoi masikio? Hawatoi nguo ikiingia fyonto?

wanawake tumewapumzisha. Wameweka miguu juu enjoying coffee.
 
karucee sijui kama unajua umenichekesha mbele ya watu.. ngoja tena kesho kutwa uje uniseme "sipendi mwanaume anae cheka na simu" jiongezee like moja nitakuja ku-refund!

teh hee hee. Punguza stress za katikati ya wiki
 
mtoa mada ana stress kweli, sijui kaachwa na bf/mume wake
 
Acha umbea na urongo mwanangu Karucee. Kwani unawajua wanaume wote au ni kutaka sifa tu? Huwa na baba yako anafanya yote hayo? Kwanini useme wanaume wote utadhani unawajua bila kusema baadhi ya wachache unaowajua? Hujui kuwa na wanawake wanachokoa pua? Hujui kuwa na masugamami hutumia hiyo ssss? Hata ungeongelea wanaume wa kijijini kwako si rahisi kuwajua wote na tabia zao. Mbona huna hata chembe ya utafiti ukiachia mbali hoja na aibu? Shame on you!

interesting. Which of the above are you guilty of? Futa povu then nieleze wapi nimesema wanaume wote. Then you can have some of the shame you cast upon me. 😉
 
Back
Top Bottom