Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
hahahahaahhahha weye hii story wataka kunipa gheto du...nakuogopa sokomoko!
Usiogope sina mapembe mpenzi na wala sili watu ila ukikaa fresh nakutafuna bila kusikia maumivu
hahahahaahhahha weye hii story wataka kunipa gheto du...nakuogopa sokomoko!
kwa maneno matamuHivi utabakwaje kwenye simu.
Short an clear!!!!kwa maneno matamu
Unakuta mwanaume humjui anakutongoza kwenye simu unakubali hivi hii ni akili kweli.
Halafu unakuja kubakwa hivi utamlaumu nani.
Hivi kumbe sikujua .. duhhhhhKwahiyo kila kila kikuvunjacho moyoTutakiita "kubakwa"Mmhh mi nlizani kubakwa ni pale Unapolazimishwa kufanta (tendo la ndoa) "SEX" bila Hidhini ya mtu..cyber sex nayo sio kubakwa? manake inabreki ze heart!
Duhhhhh Kama ni hivyo mbona ni balaa tu..kwa maneno matamu
Lolz Waenda wapi dear? ?Me napita tu AD
Umeona eeeh kuna something hapo si bure!!lol aina nyingine hii
ktk CHEMSHA BONGO MMU Afrodenzi kasema 40% ya wanawake huvutiwa na sauti kwanza. So sioni hatari ktk hilo bwana teh! Wanawake pendeni sana!Unakuta mwanaume humjui anakutongoza kwenye simu unakubali hivi hii ni akili kweli.Halafu unakuja kubakwa hivi utamlaumu nani.
nadhan hii tuiite ya kutongozwa kwa maandishi. HaaaahahaUmeona eeeh kuna something hapo si bure!!
Ukiona hivyo ujue ni Maharage ya Mbeya, very cheap, wanauza saaana hapa Dar, & elsewhere, or manungayembe, adiosUnakuta mwanaume humjui anakutongoza kwenye simu unakubali hivi hii ni akili kweli.Halafu unakuja kubakwa hivi utamlaumu nani.
Hii thread iko so boring...............[/QU]
Real boring