KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,902
- 9,323
MADEMU WA MITANDAONI.
1. Ukimwambia mambo anaitikia kwa herufi *p* na *k*
2. Ukimuomba picha anakwambia *"wew mbona hujantumia"*
3. Ukiuliza maswali matatu kwa pamoja anajibu moja tu mengine ni uvivu kutype
4. Ukimwambia tufahamiane anasema anza wewe na ukimaliza ili yeye aanze bas anakuwa offline
5. Kawaida yao huwa hawaanzi kukutafuta hewani hata kukupa *HI* tu usipomtafuta ndo imetoka hiyo.
6. Wamejijengea mawazo kuwa kila Man kwenye social sites anatafuta mpenzi tu.(hawawazii urafiki wa dhati)
7. Wengi hawapendi maswali na hukaa kimya ila ukiweka DP ya demu mwingine utaona txt *msalimie mkeo*
8. Wanapenda kujifanya wapo busy sana hawajibu txt ila ukimuadd kwenye magrup ya mapenzi wanashinda wanapost tu comments
9. Mnajuana leo kesho anakuomba elfu kumi ana shida nayo sana
(maboya yanakamatwa)
10. Ukifanikiwa kupendwa na hawa madem atakuja kwako kwa nauli yake ila kama ndo umemtokea akakubali basi andaa nauli ya kuja kwako
11. Mwisho wanaamini hakuna mwanaume wa ndoa anayepatikana mtandaoni (wote ni wachakachuaji tu)
.....
huwa najiuliza hivi kuna dunia inaitwa *mtandaoni* ??! kwamba watu waliopo humo sio hawa wa hii dunia! 

......


Je unataka kuijua mitandao spesho kwa kupata wachumba??
(Mie sijui )
************by Sandra Bernard
WA instagram
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Ukimwambia mambo anaitikia kwa herufi *p* na *k*
2. Ukimuomba picha anakwambia *"wew mbona hujantumia"*
3. Ukiuliza maswali matatu kwa pamoja anajibu moja tu mengine ni uvivu kutype
4. Ukimwambia tufahamiane anasema anza wewe na ukimaliza ili yeye aanze bas anakuwa offline

5. Kawaida yao huwa hawaanzi kukutafuta hewani hata kukupa *HI* tu usipomtafuta ndo imetoka hiyo.
6. Wamejijengea mawazo kuwa kila Man kwenye social sites anatafuta mpenzi tu.(hawawazii urafiki wa dhati)
7. Wengi hawapendi maswali na hukaa kimya ila ukiweka DP ya demu mwingine utaona txt *msalimie mkeo*
8. Wanapenda kujifanya wapo busy sana hawajibu txt ila ukimuadd kwenye magrup ya mapenzi wanashinda wanapost tu comments
9. Mnajuana leo kesho anakuomba elfu kumi ana shida nayo sana
(maboya yanakamatwa)10. Ukifanikiwa kupendwa na hawa madem atakuja kwako kwa nauli yake ila kama ndo umemtokea akakubali basi andaa nauli ya kuja kwako

11. Mwisho wanaamini hakuna mwanaume wa ndoa anayepatikana mtandaoni (wote ni wachakachuaji tu)
.....
huwa najiuliza hivi kuna dunia inaitwa *mtandaoni* ??! kwamba watu waliopo humo sio hawa wa hii dunia! 

......


Je unataka kuijua mitandao spesho kwa kupata wachumba??
(Mie sijui )

************by Sandra Bernard

WA instagramSent using Jamii Forums mobile app
