Romance
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 586
- 159
Mmmh hapa kwa kutumia ID ya kike naomba kupinga kidooooogo!Yote inategemea mhusika anafanya vile kwa madhumuni gani...wengine wanapenda kuvaa ule uhusika hapa kwasababu mtaani hawawezi na wanapenda na wengine wanataka tu kuwachechea TONGOZA TONGOZA wa humu akili.Kwahiyo binafsi naamini kwamba tatizo halipo kwenye ID ya jinsia mtu anayotumia bali DHUMUNI la yeye kufanya hivyo!!
ile kitendo tu cha kujiweka nafasi ya mwanamke kimawazo na matendo ni dalili tosha mwanaume wa kweli hataki hata kufikiria.