Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,871
- 6,468
Kila mtu ana mtaa wake aliotoka, na tabia mbalimbali
leo tuongelee kuhusu hizi daladala zetu
wa UBER mtuache kwanzaš¤£
Sisi daladala za huku kwetu huwa zinajaa mpaka KONDA anapanda BODABODA
vipi daladala za huko kwenu?
leo tuongelee kuhusu hizi daladala zetu
wa UBER mtuache kwanzaš¤£
Sisi daladala za huku kwetu huwa zinajaa mpaka KONDA anapanda BODABODA
vipi daladala za huko kwenu?
