Tabia ya watu wa 'pinga pinga'

singojr

JF-Expert Member
Oct 28, 2014
5,307
6,883
Kuna tabia imeibuka kwa baadhi ya viongozi kuwaaminisha raia kuwa serikali imejaa malimbukeni na yeyote aliye kinyume na serikali basi ana akili kubwa na uwezo mkubwa.
Hili linapelekea kupinga kila jambo zuri linalofanywa na serikali hata kama ni la manufaa.
Baadhi ni mambo yaliyopingwa na sasa tunaona faida zake
1. Ujenzi wa barabara za Mwendokasi.
2. Ujenzi wa Mloganzila hospital.
3. Upanuzi wa barabara ya Kimara.
4. Ujenzi wa madarasa 11000.
5. Malipo ya serikali kwa control No.
6. Ujenzi wa Bwawa la Nyerere
7. Ujenzi wa Daraja la Tanzanite na Kigamboni
8. Ujenzi wa barabara maeneo mbalimbali.

Haya na mengine mengi wakati yanaanzishwa kuna watu walijitokeza na kupinga na kukejeli lakini leo tunaona manufaa yake.
Leo tena naona kejeli zinaendelea baada ya Msemaji wa Serikali kuweka kipande cha video ya majaribio ya treni ya umeme.
Tuacheni siasa za kipumbavu za kupinga kila jambo.
 
Tukianza kusifiana sasa hivi kwenye haya mambo ya kawaida ambayo mataifa yote duniani yanafanya tutaweza kua na jambo gani kubwa la tifauti tutakaloweza kufanya.Tunasifiana kwasababu akili zetu ni ndogo,wenye akili kubwa hawana huo muda,wako busy kuumiza vichwa namna yakufanya mapinduzi kwenye elimu zao,uchumi zao,sekta ya afya,ili sisi wa akili ndogo tuje kuvitumia na kusifiana.
 
Makamanda wakiongozwa ma Mr #dishlimetilt (akiwa bado mbunge) ndio walianzisha huo ujinga wa pinga pinga, eti kwa sababu wao ni chama cha upinzani. Kuwa chama cha upinzani siyo kupinga kila kitu hata vyenye manufaa kwa wananchi. Ni sawa kupinga vitu visivyo na manufaa, lakini siyo kila kitu. Wakafie mbali na huo ujinga wao.
 
Kuna upuuzi umeibuka wa watu kusifia kila kitu hata vile ambavyo havina faida yoyote kwa Taifa.

Huu upuuzi unataka Taifa zima tufanane akili tuwe ni watu wa kusifu tu.

Nasema huu ujinga ukome mara moja.

Wanaosifu kila kitu hao ni wasaka vyeo na teuzi na wameshashtukiwa.
Mimi naongelea suala la kupinga kila jambo jema. Kila kitu kinachoanzishwa wanasema hicho hatuwezi
 
Makamanda wakiongozwa ma Mr #dishlimetilt (akiwa bado mbunge) ndio walianzisha huo ujinga wa pinga pinga, eti kwa sababu wao ni chama cha upinzani. Kuwa chama cha upinzani siyo kupinga kila kitu hata vyenye manufaa kwa wananchi. Ni sawa kupinga vitu visivyo na manufaa, lakini siyo kila kitu. Wakafie mbali na huo ujinga wao.

Wasipobadilika watakuta mambo ni tofauti kabisa
 
Wanaosifu kila kitu hao ni wasaka vyeo na teuzi na wameshashtukiwa.
Mimi naongelea suala la kupinga kila jambo jema. Kila kitu kinachoanzishwa wanasema hicho hatuwezi
Nani huyo anayepinga?.Anayepinga ni yule ambaye ana uwezo wakubadilisha au kukataa jambo husika lisifanyike.sasa kama unachukulia mawazo mbadala ya watu ndo unaita kupinga utakua uelewi kitu chochote.
 
Kuna upumbavu umeibuka kwa baadhi ya viongozi kuwaaminisha raia kuwa serikali imejaa malimbukeni na yeyote aliye kinyume na serikali basi ana akili kubwa na uwezo mkubwa.
Hili linapelekea kupinga kila jambo zuri linalofanywa na serikali hata kama ni la manufaa.
Baadhi ni mambo yaliyopingwa na sasa tunaona faida zake
1. Ujenzi wa barabara za Mwendokasi.
2. Ujenzi wa Mloganzila hospital.
3. Upanuzi wa barabara ya Kimara.
4. Ujenzi wa madarasa 11000.
5. Malipo ya serikali kwa control No.
6. Ujenzi wa Bwawa la Nyerere
7. Ujenzi wa Daraja la Tanzanite na Kigamboni
8. Ujenzi wa barabara maeneo mbalimbali.

Haya na mengine mengi wakati yanaanzishwa kuna watu walijitokeza na kupinga na kukejeli lakini leo tunaona manufaa yake.
Leo tena naona kejeli zinaendelea baada ya Msemaji wa Serikali kuweka kipande cha video ya majaribio ya treni ya umeme.
Tuacheni siasa za kipumbavu za kupinga kila jambo.
Naunga mkono hoja, kama ilivyo kwenye siasa, kuna wanasiasa pinga pinga, ndivyo hali ilivyo humu jf, kuna members pinga pinga, hata jambo liwe zuri vipi, wao watalikosoa, watabeza na kupinga!.

Ila ni haki yao, ndio freedom of expression, na pinga pinga haikuanza leo, hata Mungu mwenyewe, licha ya kumpa kila kitu na kumfanya malaika mkuu, bado Lucifer alimpinga Mungu akitaka yeye ndiye awe Mungu!.
P
 
Nani huyo anayepinga?.Anayepinga ni yule ambaye ana uwezo wakubadilisha au kukataa jambo husika lisifanyike.sasa kama unachukulia mawazo mbadala ya watu ndo unaita kupinga utakua uelewi kitu chochote.

Waliosema flyover zisijengwe maana vijijini hakuna maji uliwaelewa?
Lazima mambo yote yaende kwa usawa.
 
Naunga mkono hoja, kama ilivyo kwenye siasa, kuna wanasiasa pinga pinga, ndivyo hali ilivyo humu jf, kuna members pinga pinga, hata jambo liwe vipi, wao watalikosoa, watabeza na kupinga.

Ila ni haki yao, ndio freedom of expression, hata Mungu mwenyewe, licha ya kumpa kila kitu na kumfanya mkuu, bado Lusifer alimpinga!.
P
We Mayala, tren yenyewe ndo hiyo yenye mwendo wa kama basi?
 
Kuna upumbavu umeibuka kwa baadhi ya viongozi kuwaaminisha raia kuwa serikali imejaa malimbukeni na yeyote aliye kinyume na serikali basi ana akili kubwa na uwezo mkubwa.
Hili linapelekea kupinga kila jambo zuri linalofanywa na serikali hata kama ni la manufaa.
Baadhi ni mambo yaliyopingwa na sasa tunaona faida zake
1. Ujenzi wa barabara za Mwendokasi.
2. Ujenzi wa Mloganzila hospital.
3. Upanuzi wa barabara ya Kimara.
4. Ujenzi wa madarasa 11000.
5. Malipo ya serikali kwa control No.
6. Ujenzi wa Bwawa la Nyerere
7. Ujenzi wa Daraja la Tanzanite na Kigamboni
8. Ujenzi wa barabara maeneo mbalimbali.

Haya na mengine mengi wakati yanaanzishwa kuna watu walijitokeza na kupinga na kukejeli lakini leo tunaona manufaa yake.
Leo tena naona kejeli zinaendelea baada ya Msemaji wa Serikali kuweka kipande cha video ya majaribio ya treni ya umeme.
Tuacheni siasa za kipumbavu za kupinga kila jambo.
Ila JPM kweli alikua mwanaume yani ndani ya miaka 5 tu tumeona maendeleo makubwa hasa upande wa miundombinu..je angepewa 10 yote...si tungekua kam ulaya.

Endelea kupumzika kwa amani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuna upumbavu umeibuka kwa baadhi ya viongozi kuwaaminisha raia kuwa serikali imejaa malimbukeni na yeyote aliye kinyume na serikali basi ana akili kubwa na uwezo mkubwa.
Hili linapelekea kupinga kila jambo zuri linalofanywa na serikali hata kama ni la manufaa.
Baadhi ni mambo yaliyopingwa na sasa tunaona faida zake
1. Ujenzi wa barabara za Mwendokasi.
2. Ujenzi wa Mloganzila hospital.
3. Upanuzi wa barabara ya Kimara.
4. Ujenzi wa madarasa 11000.
5. Malipo ya serikali kwa control No.
6. Ujenzi wa Bwawa la Nyerere
7. Ujenzi wa Daraja la Tanzanite na Kigamboni
8. Ujenzi wa barabara maeneo mbalimbali.

Haya na mengine mengi wakati yanaanzishwa kuna watu walijitokeza na kupinga na kukejeli lakini leo tunaona manufaa yake.
Leo tena naona kejeli zinaendelea baada ya Msemaji wa Serikali kuweka kipande cha video ya majaribio ya treni ya umeme.
Tuacheni siasa za kipumbavu za kupinga kila jambo.
Mkuu huwezi kumridhisha kila mtu ila Kuna kauli moja inayosema " To protest is to want changes"
 
Kuna upumbavu umeibuka kwa baadhi ya viongozi kuwaaminisha raia kuwa serikali imejaa malimbukeni na yeyote aliye kinyume na serikali basi ana akili kubwa na uwezo mkubwa.
Hili linapelekea kupinga kila jambo zuri linalofanywa na serikali hata kama ni la manufaa.
Baadhi ni mambo yaliyopingwa na sasa tunaona faida zake
1. Ujenzi wa barabara za Mwendokasi.
2. Ujenzi wa Mloganzila hospital.
3. Upanuzi wa barabara ya Kimara.
4. Ujenzi wa madarasa 11000.
5. Malipo ya serikali kwa control No.
6. Ujenzi wa Bwawa la Nyerere
7. Ujenzi wa Daraja la Tanzanite na Kigamboni
8. Ujenzi wa barabara maeneo mbalimbali.

Haya na mengine mengi wakati yanaanzishwa kuna watu walijitokeza na kupinga na kukejeli lakini leo tunaona manufaa yake.
Leo tena naona kejeli zinaendelea baada ya Msemaji wa Serikali kuweka kipande cha video ya majaribio ya treni ya umeme.
Tuacheni siasa za kipumbavu za kupinga kila jambo.
Vyeti feki na wauza ngada, ni watu wapumbavu sana kuendelea kumkashifu shujaa licha ya kuwafanya waende shule ili wakaondoe ujinga
 
Tukianza kusifiana sasa hivi kwenye haya mambo ya kawaida ambayo mataifa yote duniani yanafanya tutaweza kua na jambo gani kubwa la tifauti tutakaloweza kufanya.Tunasifiana kwasababu akili zetu ni ndogo,wenye akili kubwa hawana huo muda,wako busy kuumiza vichwa namna yakufanya mapinduzi kwenye elimu zao,uchumi zao,sekta ya afya,ili sisi wa akili ndogo tuje kuvitumia na kusifiana.
Unamsifia mtu kwa kulipa ada ya shule kwa mtoto wake..!! AU unamsifia mtu kwa kuilisha familia yake..!!
 
Back
Top Bottom