Huu ndiyo ukweli hakuna mwanaume anaeweza kumkimbia mwanae wa kumzaa ila wanawake wanasababisha hayo.mimi nimetoka kazini nimechoka unarudi home daily maneno .hata umfanyie nini anajifanya haoni
Shida si wanawake shida hamjui uchungu wa mtoto ukiujua hata mama awe kama hitler utasimama kwa ajili ya mwanao. Kina mama wanavumilia mangapi makero ya wanaume na kusacrifice furaha zao kwa ajili ya watoto wao.
Mama yako mwenyewe ukute amesacrifice mengi na kumvumilia baba yako ili tu wewe uwe kijana mweny maisha mazuri. Mama zetu wangeamua kufuata mioyo yao na kukimbia majukumu yaonkisa kero za wenzi wao am telling u wengi tungesuffer na kuishia kuwa machokoraa.