Tabia ya rafiki yangu inanishangaza

Tabia ya rafiki yangu inanishangaza

Kaolewa? Na kama kaolewa labda ana mchepuko so anakuja kwako kumzuga mme wake alikuwa kwa rafiki yake kumbe alivosema anakuja kwako katoka kwake saa 7 mchana kagegedwa weee then anakuja kwako saa 4 nite anampoteza maboya mme wake...haha mjini hapa

Usiniwaze kama huwezi kujiwaza.

kaolewa na ana watoto wa tatu
 
nafanya nae kazi sehemu moja mama na familia yake, lakini anaweza kunipigia simu kuwa atakuja kwangu kunisalimia siku ya weekend, basi nitakaa mchana wote haji ikifika saa 4 usiku ananipigia simu vipi umeshalala? mimi niko hapa nje kwako, mara mbili kanifanyia hivyo na akiingia ndani hana haraka ya kuondoka, juzi jumapili kanifanyia hivyo sikumfungulia na nikazima smu, jana nimefika ofisini namsalimia kanuna, waungana nisaidieni huyu mwanamke mwenzangu anania gani ni kunisalimia tuu tena usiku usiku au mi simwelewi? na anajua mimi ni mke wa mtu
ana sehemu ya kulala? usikute anaungaunga kuupitisha usiku.
 
alibi ni nini?

Alibi ni pale mtu anapofanya jambo mahali lakini akatoa ushahidi kwamba yupo sehemu nyingine. Sasa kunachothibitisha ndio alibi yaweza kuwa mtu au picha kwamba mda wa tukio ulikuwa sehemu nyingine tofauti.
 
Pengine anategea aje kulala kwako ili iwe rahisi kuonana na mumeoa
 
Haswa hilo ndio chezo alimchezea huyo rafiki yake. Hakuna kuwanga au nini. wewe anatoka kwenye michepuko anapitia hapo kwa rafiki yake chap na kuchomoka ili akirudi kwake anasema nilikuwa kwa jirani, Na ndio maana anamtaarifu mapema wakati anaaga mume. Wanawake waache waitwe wanawake wana mbinu nyingi sana. Ila kila lenye mwanzo halikosi mwisho, atakamatwa tuu. Huyu rafiki yake akitaka kumkamata na kuhakikisha hicho ulichomwambia afanye hivi, akimpigia simu kumtaarifu nakuja kwako yeye asubiri kama masaa 3 hivi halafu aende kwake kumtembelea yeye, kama hataambiwa mbona ameaga hapa muda mrefu anakuja kwako!!? zen ze moviiz starts from zea.
Kaolewa? Na kama kaolewa labda ana mchepuko so anakuja kwako kumzuga mme wake alikuwa kwa rafiki yake kumbe alivosema anakuja kwako katoka kwake saa 7 mchana kagegedwa weee then anakuja kwako saa 4 nite anampoteza maboya mme wake...haha mjini hapa

Usiniwaze kama huwezi kujiwaza.
 
Heeeee

Yaani mtu ajr saa nne usiku kwako unamruhusu?

Whaiyiiiiiiiiiiiii..... mie ningemwambia tu sasa hivi nimelala usije. La nikimfungulia mlango nameambia kabisa nina dakika 10 tu za kujusikiliza nataka nikalale.

Tabia mbaya sana
 
mama wee huwamume wangu akija nae kukaa na mimi anasema shem kalale tuu, akiondoka ananiambia na wewe huyu mtu wako umemzoesha vibaya kweli mambo mengineya siri nakuja kuongea hatakiwi kuyasikia, ila hayo mambo ya siri sijawahi kuyasikia akiniambia zaidi ooh umeona movie fulani ya kinaigeria atanihadithia mwanzo mwisho, mi namshangaa tuu kwakuwa haina maana kuniadithia muda huu wakati kazini nakutana nae muda mwingi ataweza kuniambia hayo mambo

Mama wewe mzoeze tu, utastukia anakuambia hiyo habari!! Inakuwaje unamruhusu kumsema vibaya husy wako? Akikuchosha mtimue!!
 
pole sana kwani hana mume ? , mshauri aweanakuja namume wake , akifika funga mlango ingia chumbani kwako muache sebuleni ulale na mumeo .
 
Mimi hata ukipiga simu saa nne sipokei sembuse kuja kwangu...

Saa nne ni muda wa familia..
 
Back
Top Bottom