Kaolewa? Na kama kaolewa labda ana mchepuko so anakuja kwako kumzuga mme wake alikuwa kwa rafiki yake kumbe alivosema anakuja kwako katoka kwake saa 7 mchana kagegedwa weee then anakuja kwako saa 4 nite anampoteza maboya mme wake...haha mjini hapa
Usiniwaze kama huwezi kujiwaza.
duh jf hakukosi majibu hahahahaanakutaka au anataka tamuu ya babaa
kaolewa na ana watoto wa tatu
ana sehemu ya kulala? usikute anaungaunga kuupitisha usiku.nafanya nae kazi sehemu moja mama na familia yake, lakini anaweza kunipigia simu kuwa atakuja kwangu kunisalimia siku ya weekend, basi nitakaa mchana wote haji ikifika saa 4 usiku ananipigia simu vipi umeshalala? mimi niko hapa nje kwako, mara mbili kanifanyia hivyo na akiingia ndani hana haraka ya kuondoka, juzi jumapili kanifanyia hivyo sikumfungulia na nikazima smu, jana nimefika ofisini namsalimia kanuna, waungana nisaidieni huyu mwanamke mwenzangu anania gani ni kunisalimia tuu tena usiku usiku au mi simwelewi? na anajua mimi ni mke wa mtu
alibi ni nini?
Kaolewa? Na kama kaolewa labda ana mchepuko so anakuja kwako kumzuga mme wake alikuwa kwa rafiki yake kumbe alivosema anakuja kwako katoka kwake saa 7 mchana kagegedwa weee then anakuja kwako saa 4 nite anampoteza maboya mme wake...haha mjini hapa
Usiniwaze kama huwezi kujiwaza.
mama wee huwamume wangu akija nae kukaa na mimi anasema shem kalale tuu, akiondoka ananiambia na wewe huyu mtu wako umemzoesha vibaya kweli mambo mengineya siri nakuja kuongea hatakiwi kuyasikia, ila hayo mambo ya siri sijawahi kuyasikia akiniambia zaidi ooh umeona movie fulani ya kinaigeria atanihadithia mwanzo mwisho, mi namshangaa tuu kwakuwa haina maana kuniadithia muda huu wakati kazini nakutana nae muda mwingi ataweza kuniambia hayo mambo