Kama unakula ugali wa bure tulia acha kuperemba kazi zingine watu tunafanya hazihitaji ukaribu na usumbufu wa cm pia data inakula charge ila sana ni kazi kama upo tu kijiweni na washkaji zako unapiga zogo washa data alafu umuulize house gel chai tayari
Charge ndyo tatizo mkuu, tatizo sio bundle! Pia kumbuka kuna watu hawana kazi kwenye baadhi ya groups wanna chat muda wote, hivyo wanasumbua. Nibora uwashe data muda ambao utatumia/kusoma message na emails
Sio kila ukiwasha data ni kwa ajil ya wasap tyu akna mama mbn mnasumbua xkuhiz ndo tatzo lenu msiokua na kaz mda wote mnawaza kuchat tu umbea cjui instagram