jamiif
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 2,413
- 990
duh, boflo unatisha, sasa wife akiona hii si balaa...lol.......au hujaoa boflo.......lol.......hahahahahaha!
Hivi men wa Jf wana tabia kama yangu ya kupenda kuhonga??
Ninasikia raha kuhonga....hasa pale ninapofanikiwa kumnasa mlengwa (napiga mapigo ya kifashisti)
Kuna ubaya kuhonga? ur advice plz