Tabia ya kuegemea magari ya watu

watu washaanza kutetea magari yao ya mkopo kwakuwa sasa benki zinadai na zinafilisi , unanyima hata watu wasiegemee ndinga yako,
 
umenikumbusha marehem dingi
 
hahahaah
Wasamehe Mkuu
Nilishawafuma watoto wa kike wakipiga picha kwenye Gari langu
Lakini Pia nilishawafuma Vijana wakichukua masefie ktk Chombo yangu
Ndiyo Maisha yetu Ndugu, Tuvumiliane.
 
Huo ni unyanyasaji, fanya tathimini upya na usithamini sana kitu ambacho hakita kuzika.
 
hahahaah
Wasamehe Mkuu
Nilishawafuma watoto wa kike wakipiga picha kwenye Gari langu
Lakini Pia nilishawafuma Vijana wakichukua masefie ktk Chombo yangu
Ndiyo Maisha yetu Ndugu, Tuvumiliane.

Inaonekana una gari zuri sana. Na mimi naomba selfie kwenye gari yako mkuu.
 
Inategemea na gari.....sasa kama unayo passo na wewe utalalamika kweli au unatania
 
Kukosa kwenu magari au kuwa mafukara ndio mumshushie mdau matusi?

Tabia ya kuegemea magari ya watu si nzuri. Kuna ulazima gani wa wewe na hayo makalio yako yaliyokuzidi uzito kiasi unatafuta pa kujisapoti kwenda mjini?

Nendeni mkaegemee yale ya zimamoto, yale ndio ya wote.
 
Wewe lazima umeishi kulee....bongo hamna ustaarabu huo. Nilipata shida sana siku za mwanzo,foleni benki mtu anakukaribia hadi anakugusa unabaki unamuangalia hata msg hapati....watu hawaheshimu mali ya mtu na unaweza kusoma hata michango yao ya dharau kwa aina fulani ya gari. Kama vits,passo ni yake usiegemee heshimu mali yake.
 
Wamenikwangulia rangi sana sana na sarawili za jeans, zipu wakigeuka zinakwangua rangi. Ni tabia mbaya sana kusema ukweli japo watu wanaona mwenye gari anajidai. Niliwahi kukuta wamelia hapo chips na soda gari wameigeuza meza.....
Kuna watoto nilikuta wamefanya gari langu ubao wa shule.....wamekwangua 1+1=2, 2+2=4......
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka hadi kichwa kinauma!
 
Hahahaha....."hata msg hapati" mwingine anajikata kucha kwenye public transport,ilibidi nishukie njiani kwanza
 
Hahahaha....."hata msg hapati" mwingine anajikata kucha kwenye public transport,ilibidi nishukie njiani kwanza
Kuna namna mtu akikuangalia unapata msg.....sasa wengine hawajui hio na ukimwabia tu ugomvi!
 
Kumbuka pia uongo ni Mbaya...
 
Hahahaha....."hata msg hapati" mwingine anajikata kucha kwenye public transport,ilibidi nishukie njiani kwanza
Hii mara ya mwisho hata wiki mbili haijapita kwenye fastjet, mtu katoa nail cutter kabisa mfukoni, sijui kaipitishaje. Nasikia clipping sound kutazama mtu na heshima zake hana habari.
 
Gari la kwanza na uzeeni lina heka heka duh nakumbuka nili park karibu na dirisha ili usiku niwe naliona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…