jema rashid
Member
- Oct 4, 2014
- 80
- 15
kumekuwa na vitabia vya watumishi wanaoishi/fanya kazi makao makuu ya wizara kuomba hata kulazimisha kuletewa vizawadi kutoka kwa wafanyakazi wa mikoani hasa pale wanapokuja kushughulikia mambo yao ya kikazi wizarani.
Utasikia mbona unakuja bila michele, maharagwe, samaki na kadhalika. Tabia hii inakera sana wakati mshahara mnapata sawa au anakuzidi.
WanaJamiiForums hii tabia ni ya kukemea kabisa!
Utasikia mbona unakuja bila michele, maharagwe, samaki na kadhalika. Tabia hii inakera sana wakati mshahara mnapata sawa au anakuzidi.
WanaJamiiForums hii tabia ni ya kukemea kabisa!