Snapdragon 8
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,073
- 3,885
Huyu mbususu hana labda akupe kitunguuHapa ume sound kiume kabisa... Hapa kuna real manhood hapa umeharibu mwamba. Next tym lainisha vimaneno hapo vidume tunakuja haraka pm kuomba mbususu
Huyu mbususu hana labda akupe kitunguuHapa ume sound kiume kabisa... Hapa kuna real manhood hapa umeharibu mwamba. Next tym lainisha vimaneno hapo vidume tunakuja haraka pm kuomba mbususu
mbona kama muandiko wa kiume huu.!Jamani naenda moja kwa moja .
Tabia zinazonikera kwa wanaume kiukweli kama mtabadikika basi Dunia itakuwa mahali safi na nitawapenda sana baba zangu nyie na wapenzi niwapendao.
1. Muache uchafu jamani wanaume mjitahidi kufua hata boksa. Why boksa moja iyo iyo like seriously
2. Mjitahidi kuoga.
3. Muwe smart. Mvae vizuri mpendeze, hapa soksi.
4. Smart kwenye kuongea