Tabia hizi kwa mwanaume zinaudhi sana

tilito

Member
Sep 1, 2017
42
52
Habari wana jamvi,
Nina kijana wangu ambae ana tabia ambazo mimi sifurahii kabisa maana ninazichukulia kama ni tabia za wadada fulani ivi wa kiswahili mfano mkiwa mnachati maneno kama baby yake,jomoni, niwache babu wee, au usinifanyie mwana mwenzio na hapa mkiongea mara nyingi anavitumia ivo vimaneno kwakweli mimi naona kero kabisa na pia nikiangalia na age yake naona hapaswi kufanya ivo.na nikimshauri usiwe unaongea ivo anakuwa mkali sasa mimi kiukweli mapenzi yameisha kabisa kutokana na hizo tabia zake naona kama bado hajakuwa. Au anakuandikia vifupi kwenye massage ukimuuliza anamaanisha nini anaona kama ninadharau .sasa nishamwambia tuache hataki na mimi sifurahii kabisa hizo tabia.
 
Habari wana jamvi,
Nina kijana wangu ambae ana tabia ambazo mimi sifurahii kabisa maana ninazichukulia kama ni tabia za wadada fulani ivi wa kiswahili mfano mkiwa mnachati maneno kama baby yake,jomoni, niwache babu wee, au usinifanyie mwana mwenzio na hapa mkiongea mara nyingi anavitumia ivo vimaneno kwakweli mimi naona kero kabisa na pia nikiangalia na age yake naona hapaswi kufanya ivo.na nikimshauri usiwe unaongea ivo anakuwa mkali sasa mimi kiukweli mapenzi yameisha kabisa kutokana na hizo tabia zake naona kama bado hajakuwa. Au anakuandikia vifupi kwenye massage ukimuuliza anamaanisha nini anaona kama ninadharau .sasa nishamwambia tuache hataki na mimi sifurahii kabisa hizo tabia.
Uliposema una kijana wako nikafikiri mtoto wa kumzaa kumbe mlaji
 
Mi ningeshaacha mawasiliano nae tabia za kishoga hizo mwanaume gentle hawez kua hvyo yan me mtu akiniandikia kifup sijui mara aweke ma x kwenye msg mim siwez kuendelea kuchat nae
 
Mpe makavu. Otherwise unasubiri meli mkoani dodoma

NB: kama bado hujawa muhenga karibu kwangu kuna makao ya kutosha bado.
 
Mi ningeshaacha mawasiliano nae tabia za kishoga hizo mwanaume gentle hawez kua hvyo yan me mtu akiniandikia kifup sijui mara aweke ma x kwenye msg mim siwez kuendelea kuchat nae
Kwakweli ni vitu vinavyouzi mnooo sasa ukimwambia anaona mimi nina dharau.
Kwakweli hata mimi nimeshindwa kabisaaaa
 
Habari wana jamvi,
Nina kijana wangu ambae ana tabia ambazo mimi sifurahii kabisa maana ninazichukulia kama ni tabia za wadada fulani ivi wa kiswahili mfano mkiwa mnachati maneno kama baby yake,jomoni, niwache babu wee, au usinifanyie mwana mwenzio na hapa mkiongea mara nyingi anavitumia ivo vimaneno kwakweli mimi naona kero kabisa na pia nikiangalia na age yake naona hapaswi kufanya ivo.na nikimshauri usiwe unaongea ivo anakuwa mkali sasa mimi kiukweli mapenzi yameisha kabisa kutokana na hizo tabia zake naona kama bado hajakuwa. Au anakuandikia vifupi kwenye massage ukimuuliza anamaanisha nini anaona kama ninadharau .sasa nishamwambia tuache hataki na mimi sifurahii kabisa hizo tabia.
Maneno ya kilokole haya
Utafikiri anatoa ushuhuda jukwaa limevamiwa hapa duu
 
Back
Top Bottom