Bila kufanya hayo usiyoyapenda, ulevi utakua hauna maana weee vp? Raha ya pombe ni kujiachilia utakavyo.[/QU ...hatukatai kujiachilia km usemavyo....cheza kiasi, imba, jishike kichwa, kifua...poa. Sio umtomase mhudum bila ridhaa yake...kumbuka yu dada/mchumba/mke wa mtu, hapo yupo kazini.