Tabia gani za watu zinakukera?

Tabia gani za watu zinakukera?

Nakerwa na watu wanaobip na namba ambayo wanajua ni ngeni kwangu,mbaya zaidi mtu anabip bila break alafu ukimpigia hana la maana!kingine ni harufu kali ya soksi za baadhi ya wananume ya ni asubuhi ndan ya daladala mtu hata hajavua kiatu ila hiyo harufu ni balaa cjui akivua inakuaje!
 
Jitu limetoka kula supu afu halijanawa mikono na sabuni... afu lajifeel ok!
 
Tatizo la kulala mchana ndio hilo, mtu unakurupuka tu bila hata kuswaki mdomo unatoa harufu hlf unakuja kupost ush..z. hapa JF kana kwamba wote tuna akili sawa na wewe.

We lazima utakua na mimba changa.
MAPROSOO.
 
Kaazi kweeli kweeli.

Mnao kereka na tabia za wenzenu ni bora muhamie sayari nyingine. Hapa duniani.............!!!! Kila mtu na lwake.
 
Back
Top Bottom