Tabia gani usiyoipenda sebuleni?

Tabia gani usiyoipenda sebuleni?

uajekundu

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2016
Posts
541
Reaction score
461
Habari zenu wa JF,

Kuna tabia ambazo wageni wamekua wakifanya masebuleni mwetu na sisi kiukweli hatuzipendi ila tunashindwa kuwaambia coz ni mgeni unaogopa kumuuzi.

Baadhi ya tabia zinazonikera mimi ni kama ifuatavyo;
1. Mgeni kupandisha miguu juu ya kochi, inakera, kama unajisikia kukunja miguu yako si bora ukae chini basi uikunje vizuri. Kuliko kupandisha milonjo yako kochini.

2. Wakati wa chakula labda umekaanga kuku umeweka kwenye bakuli self service unamkaribisha mgeni badala achukue vipisi asepe yeye anaanza kuchakura chakura yani atafukua mpaka kipande cha chini sijui ndio anatafuta kikubwa zaidi inaboa. We ukikaribisjwa fika chukua sepa.

Je wewe ni tabia gani hupendi kutoka kwa mgeni wako? Funguka hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wa Jf
Kuna tabia ambazo wageni wamekua wakifanya masebuleni mwetu na sisi kiukweli hatuzipendi ila tunashindwa kuwaambia coz ni mgeni unaogopa kumuuzi.
Baadhi ya tabia zinazonikera mimi ni kama ifuatavyo
1. Mgeni kupandisha miguu juu ya kochi, inakera, kama unajisikia kukunja miguu yako si bora ukae chini basi uikunje vizuri. Kuliko kupandisha milonjo yako kochini.

2. Wakati wa chakula labda umekaanga kuku umeweka kwenye bakuli self service unamkaribisha mgeni badala achukue vipisi asepe yeye anaanza kuchakura chakura yani atafukua mpaka kipande cha chini sijui ndio anatafuta kikubwa zaidi inaboa. We ukikaribisjwa fika chukua sepa.

Je wewe ni tabia gani hupendi kutoka kwa mgeni wako? Funguka hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
unayemsema huyo yupo hapa akanyagi mguu tena kwako
 
Kuingia kwangu hovyo hovyo unakuta mtu anakuja sebuleni ghafla tu ashafungua gril ya mlango hee nachefukwa sana nilimtimua mmoja sipendi mazoea ya kipuuzi hivyo jee kama nipo na mpenzi wangu jee

Sent from my GT-S7301 using JamiiForums mobile app
 
kujamba

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Back
Top Bottom