BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 621
- 452
Nimekuelewa ila namba 9 haijakaa sawa yaani nipake makalio yangu mafuta??Aisee tumetofautiana sanaa!
Yeah hilo lankupaka mafuta makalioni kwa mwanaume hapana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Me huwa napaka mafuta baada ya kuvaa nguo, Hilo la makalio we na wenzako ndio mnaweza.
Me huwa napaka mafuta baada ya kuvaa nguo, Hilo la makalio we na wenzako ndio mnaweza.