Tabia 10 mbaya ambazo haziendani na urembo na utanashati

kupaka kalio mafuta kawaida tu na kidume anaetaka kupaka yeye apake tu jambo zuri sana
Unachotafuta utakipata

Kwakweli mimi mtoa utanisamehe kupaka tako mafuta siwezi

Yani hua nataman hata kuyapaka vumbi basi tu
 
joshydama, Point namba 2 inawahusu wanaume zaidi, mtu napiga mswaki dk 2 amemaliza, kuoga dk 3 ametoka bafuni
 
kupaka kalio mafuta kawaida tu na kidume anaetaka kupaka yeye apake tu jambo zuri sana
Unachotafuta utakipata

Kwakweli mimi mtoa utanisamehe kupaka tako mafuta siwezi

Yani hua nataman hata kuyapaka vumbi basi tu

mbavu zangu:D:Deti kupaka vumbi
 
Mmh kupa mafuta matakoni mwisho wa utaanza kunyoa na lile v.u.z.i la m.k.u.n.d.u
 
11.Kuongea Kwa Sauti Kubwa wakati huyo mtu unayeongea naye yupo karibu yako.
12.Kutosalimia watu nayo sio ustaraabu.
Hiyo 11 aisee! Nilikuwa na mchumba wangu shombe la kiarabu/Msambaa kutoka Shinyanga ilibidi nimteme. Alikuwa akija Dar tukifuatana mitaani watu wote wanatutizama kwa sauti yake ilivo juu. Na accent yake ya Kisukuma basi nomaa!
 
Hiyo 11 aisee! Nilikuwa na mchumba wangu shombe la kiarabu/Msambaa kutoka Shinyanga ilibidi nimteme. Alikuwa akija Dar tukifuatana mitaani watu wote wanatutizama kwa sauti yake ilivo juu. Na accent yake ya Kisukuma basi nomaa!
Namba zake tafadhal
 
Habari zenu wanaJamiiForums.

Leo nataka niwajuze tabia ambazo mimi sizipendi ambazo sio za kistaarabu ambazo naziona kwenye maisha yetu ya kila siku

1. Acha kujisokonyoa puani na vidole vyako maana pua ina bakteria wengi sana

2. Piga mswaki kwa dakika 5 hadi 7 sugua kila aina ya kona hasa ulimi unabeba uchafu sana. Unakuta anapiga mswaki dakika 2 tu huyooooo. Kinywa kinakuwa kichafu hasa wanawake wengi hawapendi kupiga mswaki

3. Acha kujishika sehemu za siri hata kama zinawasha, ikitokea unawashwa jikunie hata kwa nje ya nguo

4. Ikiwezekana avoid hand shaking (KUSHIKANA MIKONO) huwa tunaambukizana sana bakteria

5. Ukinywa soda suuza kinywa na maji kwa kuyanywa ukiacha hivyo basi meno yako yataaribika

6. Nawa maji ukitoka chooni kwa haja ndogo au kubwa

7. Usipenge kamasi kwa mikono mitupu hakikisha unakuwa na kitambaa maalumu

8. Muungwana yeyote anakuwa na kitambaa cha kujifutia jasho ukijiona unatembea bila ya kitambaa ww ni mchafu.

9. Hakikisha makalio yako unayapaka mafuta, hasa wanaume hatupaki makalio yetu mafuta unakuta makalio magumu kama mabanzi ukikaa unasikia maumivu

10. Anika nguo zako za ndani kwenye jua la kutosha sio unavaa nguo ya ndani na uvundo

Wasaalamu.Povu linakaribishwa
Quinton Canosa
hv ujasili wa kupangiana matumizi ya mikono yetu hasa swala la kupiga gitaa a.k.a kukuna p...mbu umeutoa wapi wewe ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom