Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
Hivi Mlinzi Huwa anakula shilingi ngapi pa gemu? Aiseee ndiyo maana walinzi wanalipwa elfu themanini kwa mwezi lkn familia inaenda Na wanajenga Na kusomeshaMbona vitu vya kawaida sana, Kama unatembea usiku kwy sehemu za starehe. Dar es salaam sehemu nyingi madanga wapo na sehemu ambazo kwny carwash, gereji, chooni na sehemu ambazo kuna Walinzi ndio sehemu za kufanyia mapenzi